Vurugu Kituo cha Mwendokasi Kimara Temboni, abiria ashambuliwa

Kwakweli hili jambo linashangaza sana
 
Duh!...Usafiri wa umma ndani ya hili Jiji ni changamoto kweli kweli.
 
Kujichukulia sheria mkononi ni janga.....

Tuna "STRESS" nyingi za maisha na uungwana ni kuwa na kiasi panapo changamoto....
 
Kero kubwa ni kutoleta magari kwa wakati vituoni, mtu anasimama dk 40 na gari ikija ishajaza kupita kiasi.

Wanatakiwa basi zingine zianzie katikati ya vituo kupunguza abiria sio kila basi linaanzia mwanzo.
Kweli kabisa.
Hoja yako ya gari zingine kuanzia vituo vya kati nzuri sana.
Ndugu zetu vituo vya kati wanateseka sana na kuchelewa kufika kwenye majukumu yao.
 

Top right Corner: Mchina mweusi nadhani alifuatwa kwenye eneo lake. Ukiangalia picha hizi
 
Wakati mwendokasi unaanza rasmi ,mtaani na katika viunga vya jiji la Dar es salaam zilienea habari kuwa madereva wote wa mwendokasi wametokea kwenye vikosi vyetu vinavyoanzaga na KJ .

Sasa nauliza itakuwa ni kweli wanajukwaa maana hapo juu kwenye picha nahisi huyo jamaa mwenye Shari jeupe ndiye dereva maana karuka teke matata Sana
 
Wakati mwendokasi unaanza rasmi ,mtaani na katika viunga vya jiji la Dar es salaam zilienea habari kuwa madereva wote wa mwendokasi wametokea kwenye vikosi vyetu vinavyoanzaga na K
 
CCM hao,Mwendokasi chaliii,Ndegeza ATCL chali sasa bado treni
 
Nimeshawahi kuishi kwenye nchi yenye Umafia mwingi, undava mwingi, lakini inapokuja kupanga foleni Kwa ajiri ya usafiri, basi hata Gangstas ama mshenzi na muhuni yoyote, na anaweza kuwa na Bunduki kiunoni, atapanga foleni, hata kama foleni ni ndefu kiasi Gani, ila atapanga foleni.

Gari ikija, Ataingia abiria mmoja mmoja kwenye Bus bila vurugi, Wala haraka, ni polepole
 
Kero kubwa ni kutoleta magari kwa wakati vituoni, mtu anasimama dk 40 na gari ikija ishajaza kupita kiasi.

Wanatakiwa basi zingine zianzie katikati ya vituo kupunguza abiria sio kila basi linaanzia mwanzo.
Huu ushauri ni mzuri kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…