Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
Kasheshe kimara kwenda kariakoo mnaweza toana ngeu maana ale hakuna foleniOops
Nchi Hii Hivi Mwendokasi Kuupanda Mpaka Ujifue Gym
Vituo vinawekwa karibu karibu sana hadi kero, wangeviweka mbali mbali ili wananchi wafanye mazoeziHalafu wako bize wanajenga mfupa mwingine njia ya bagamoyo.
Hivi kwa nini wasingejenga njia sita au nane kabisa mpaka pale bunju.
Mtu kutoka bunju kuja mwenge unatumia dk 8 tu.
Nje ya mada:
Hivi mainjinia wa mwendokasi, kuna ulazima upi wa kujenga vituo vireeefu maeneo ambayo hayana historia ya kuwa na abiria wengi?
Mfano hivyo mnavyojenga lugalo.
Duh aisee!Hatari sana
abiria wengine wa bishi sana kipigo ndio kinawafaa, watu munapanga folen yeye anajingiza tu popote bila kujali aliowakuta
abiria wengine wa bishi sana kipigo ndio kinawafaa, watu munapanga folen yeye anajingiza tu popote bila kujali aliowakuta
"yetu" mkuu, ni huzuni sanaAdui yenu ni sisiem
Duh aisee!
Upumbavu huo unaukuta kwenye miradi ya serikali tu na ndio maana inazalisha hasara tu kwa sababu vibarua wanapata mishahara hata kama mradi utasimama kwa mwezi mzima. Ingekuwa ni kampuni binafsi wote waliopigana na abiria wangekuwa wameshachukuliwa hatua na pengine kusimamishwa kazi.Si jambo sahihi kwa mtoa huduma kufanya alichofanya, huwez pgan na mteja wako , hao wanapasw kuw fired kbsa especial derevaa aliingilia majukumu ya mlinz
Qianxianhui # Mwema flanView attachment 3249022
Naomba Tafsiri ya maneno yaliyo mgongo mwa huyu aliyevaa tsheti nyekundu!
Iliwahi nikuta hii kadhia, nliboreka ile siku, sitamani kabisa Mwendokasi. LolHujawahi kupanda mwendokasi wewe. Utaratibu wao ni mbovu sana. Unaweza kupanga foleni na ukavumilia hata lisaa lizima kwa sababu tu hutaki kusimama. Lakini wakati umefika mbele kabisa unashngaa gari inafika na dereva amafungua milango yote ili mvunjane miguu na wakati alitaliwa kufungua mlango mmoja tu watu waingie kwa foleni.
Kuna siku moja niko pale Mbezi nimepanga foleni vizuri. Gari imekuja dereva akasema haendi. Hazijapita hata dakika 2.kasogeza gari mbele kafungua milango yote. Matokeo yake tuliokuwa kwenye foleni tukabaki na wenye mbio ndio wakapanda