LGE2024 Vurugu kubwa ndani ya chama zimetokea Ikungi, baadhi ya Watu wanataja jina la Tundu Lissu

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mwanongwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2023
Posts
611
Reaction score
567
Your browser is not able to display this video.
Taharuki ya Mvutano wa CHADEMA huko Ikungi Mkoani Singida kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu. Chazo cha mzozo kinaelezwa kuwa ni mgongano ya kimaslahi miongoni mwa wananchama.


Chanzo cha Habari: habarimpyatv
 

Attachments

  • VID_20241016_115227_832.mp4
    5.3 MB
MWENYEWE YUKO ULAYA ANAKUNYWA BIA NYIE MNANYUKANA HAMNA KAZI ZA KUFANYA KWANI?
 
Kupishana na kutofautiana ni mambo ya kawaida tuu,yapo hata kwenye family,Kufanyima huko si jambo la kulifanya geni!
 
Ata Makongora alivulugana na baba yake akaama chama na msure akampa baraka zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…