Vurugu Umbwe-Lyamungo: Miaka 12 baadae

Vurugu Umbwe-Lyamungo: Miaka 12 baadae

Tatizo idadi ya wanafunzi, wakati tunasoma Kuna wanafunzi kama 2000, munalala wanafunzi wawili kitanda cha futi 2 na nusu, matundu ya vyoo hata 10 hayafiki Maputo huko. Kula chakula vurugu, prepo vurugu, darasani vurugu, kwenye mpira vurugu, kila sehemu vurugu.

Vyoo vya mabweni vya kisasa vina space unakuta vimefungwa na wababe wanaishi huko, Dorm leader na marafiki zake.

Just imagine mamia ya wanafunzi wanakaa kwenye bwalo la shule Wana Angalia Ngono, hizo guts wanazitoa wapi? Viongozi wenyewe wa shule wanachaguliwa kwa kuangalia nguvu na influence, wengi nguvu nyingi kichwani sifuri. Unakuta mtu ana miaka kama 20 ama 30 hivi yupo form 1, hajielewi hata kidogo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kombo ndo ilikua chanzo cha matatizo yote maana umbwe na lyabois walikua wakipigania madem kombo ukiona kaki imepita roho inakusimama unajua dem wako kashahama da sijutii kupita shule hiyo.
 
Enzi hizo wandiba anakuja nilikua form 2 akawaanatupa tips za kufaulu pepa.
Yule mzee alikua anasema baadhi ya masomo ukipata zero sawa tu ila wekeza nguvu zako upige above 30.

2008 tupo F3 wakatutimua and funny enough nikachaguliwa advance pale.
Tatizo wandiba walimtoa Jeshini sijui huko aje atulize vurugu za mtera, matokeo yake akazidi kuongeza vurugu.
 
Wewe unachanganya mafile. Dogo shabani alifariki 2006 na ile vita iliewa jina la stone war 3. Vita iliyowaondoa form 3 na form 4 ilikuwa ni KIMATA-KIMATUKA WAR 1 hi ilikuwa mwezi wa 2 hivi na sababu kubwa ilikuwa ni ugomvi kati ya viranja na raiya
Alikuwa Golikipa huyu dogo, namkumbuka hadi Leo, alikufa juu ya fomu nje ya ofisi ya waalimu, walikataa kumpa ruhusa. Then wakafoji foji na kusema kafa na malaria.
 
Kuumizana tu matumbo lol, [emoji23][emoji23][emoji23]
😂 😂 ubongo unasikilizia maumivu ya tumbo, saa ngapi watapata mzuka wa kupigana.

Everyday is Saturday...............................😎
 
[emoji23] [emoji23] ubongo unasikilizia maumivu ya tumbo, saa ngapi watapata mzuka wa kupigana.

Everyday is Saturday...............................😎
Kuna siku waliweka kwenye wali na ndondo, yaan mie sikula kabisaa, maan ile harufu ilizidi, bhana watu walilalamika matumbo na kuharisha kwa sana tyuuh.
 
Tatizo idadi ya wanafunzi, wakati tunasoma Kuna wanafunzi kama 2000, munalala wanafunzi wawili kitanda cha futi 2 na nusu, matundu ya vyoo hata 10 hayafiki Maputo huko. Kula chakula vurugu, prepo vurugu, darasani vurugu, kwenye mpira vurugu, kila sehemu vurugu.

Vyoo vya mabweni vya kisasa vina space unakuta vimefungwa na wababe wanaishi huko, Dorm leader na marafiki zake.

Just imagine mamia ya wanafunzi wanakaa kwenye bwalo la shule Wana Angalia Ngono, hizo guts wanazitoa wapi? Viongozi wenyewe wa shule wanachaguliwa kwa kuangalia nguvu na influence, wengi nguvu nyingi kichwani sifuri. Unakuta mtu ana miaka kama 20 ama 30 hivi yupo form 1, hajielewi hata kidogo.
Hasa hasa kwny kuchagua masterfood ndo hua wanaangalia mwenye manguvu hata kama ni zero brain
 
Zile nyakati ni moja ya kati vitu vigumu vilivyowahi kutokea maishani mwangu. Nikikumbuka jinsi yule mama wa yule kijana aliyefariki alivyofika shuleni na kuanza kuangua kilio pale administration block, huwa naumia sana. Nikimfikiria kijana wa lyamungo aliyezungushia senyenge na baadae kufariki naumia pia. Nafikiria zaidi kuhusu familia zao, mategemeo waliyokuwa nayo juu yao.

12 years later, bado moyo wangu ni mzito, kama bado haukuwahi ku-experience vita usiombe iweze kutokea katika mazingira yako.

May the Lord grant us his Mercy.
Roho ya vita na visasi kati ya kibosh, na machame bado iko hai, inahitaji kupumzishwa .Ni haiari ya waahusika to do the needfull
 
NANI ANAKUMBUKA BIFU WAKATI WA MPIRA KATI YA NAMFUA SECONDARY. NA TARAKEA DAY SECONDARY?

MÊmENtO HoMO
 
Roho ya vita na visasi kati ya kibosh, na machame bado iko hai, inahitaji kupumzishwa .Ni haiari ya waahusika to do the needfull
Machame inatenganishwa na mto. Hivo kwa ninavojua mimi lyamungo ipo kibosho machame ni mpaka uvuke mto uliopo chin ya lyamungo kutoka kijiweni so sidhani kama lyamungo ipo machame
 
Hii story haijakamilika ....
Anywa ngoja niongezee kipande
Katika purukushani watu wakarudi shuleni (ubwe) wakafika mapaka stoo!
Stoo ikavunjwa kwamba haiwezekani watu wapigwe kizembe vile .
Kila kifaa kikatolewa wakati huo wengine wamepewa zamu ya kulinda maeneo yanayozunguka shule kwa code names .
Wadau wakasema haiwezekani kwenda Lyamungo na miguu hivyo karandinga la shule (gari ya kuni) ikawashwa kuna mwamba mmoja wa chuga akapiga gea watu wakaelekea lyamungo huku wengine wanaenda na miguu yaani ni kama hawa wa gari walikuwa watu wa backup Mlinzi alitulizwa chuma ikawashwa.
Wazee wa karandinga walipakia viti na mazaga kibao pale lyamungo ni kama walienda vitani waka teka nyara mali za wapinzani.
Lyamungo walikusanywa katikati kama mateka na kupigwa sana makofi .
Nafikiri bado baadhi ya viti vya lyamungo viko pale Umbwe karibu na dorm three au maeneo ya karibu na lab ya biology.

Hii story ni kwa mujibu wa dodoso za miaka hiyo .
Nimecheka Sana!!
 
Wapi Tabora boys na Mirambo sitasahau hii najua schoolmate mpo wengi humu mnaweza kutukumbusha
Ni MILAMBO sio Mirambo. TUliwapiga sana Tabora Boys. Kuna siku ilikuwa Jmosi tuliwachapa yaaani tuliwavamia kwao then Jpili tukaenda kusali Joint-Mass, Ilikuwa Mwaka 1999-2000, nilikuwa EGM Form Six
 
Ni MILAMBO sio Mirambo. TUliwapiga sana Tabora Boys. Kuna siku ilikuwa Jmosi tuliwachapa yaaani tuliwavamia kwao then Jpili tukaenda kusali Joint-Mass, Ilikuwa Mwaka 1999-2000, nilikuwa EGM Form Six
Usikute nakufahamu joint mass ilifanyikia wapi Kama una kumbukumbu😂😂😂
 
Back
Top Bottom