Ugumu wangu
JF-Expert Member
- May 6, 2021
- 1,685
- 3,552
Ila kudadeki mlikuwa wakorofi sana hadi mkachoma maabaraNi MILAMBO sio Mirambo. TUliwapiga sana Tabora Boys. Kuna siku ilikuwa Jmosi tuliwachapa yaaani tuliwavamia kwao then Jpili tukaenda kusali Joint-Mass, Ilikuwa Mwaka 1999-2000, nilikuwa EGM Form Six
Watu walikua wanakula hadi mke asee.Mke ama watoto wake? Alikuwa na watoto wazuri sana huyu mzee,
Hahaha tunarudi kwenye midahalo ya co education is better than single sex education. Sitasahau hizi balehe. Tulikaa muda mrefu sana shule. Hiyo wiki tuko mabwenini akicheka huyu anapokea huyu. Yaan hamna sabaabu. Watu mabwenini ni vicheko tu aisee.. nilikua kiongozi wa chakula. Niliona kwa macho yangu mafuta ya taa yakimiminiwa kwenye makande[emoji23][emoji23][emoji706]Hasa hasa kwny kuchagua masterfood ndo hua wanaangalia mwenye manguvu hata kama ni zero brain
Mtaa gan mekuuYeah
Nje ya mji kidogo kama saa 1Mtaa gan mekuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha tunarudi kwenye midahalo ya co education is better than single sex education. Sitasahau hizi balehe. Tulikaa muda mrefu sana shule. Hiyo wiki tuko mabwenini akicheka huyu anapokea huyu. Yaan hamna sabaabu. Watu mabwenini ni vicheko tu aisee.. nilikua kiongozi wa chakula. Niliona kwa macho yangu mafuta ya taa yakimiminiwa kwenye makande[emoji23][emoji23][emoji706]
Nilichofanya niliagiza kiepe nje ya shule. Watu kula wakalisikia hilo wese. Wacha walalamike. After a week ikaonekana jambo halijaisha ikabidi wadanganye kwamba hakuna chakula shule imeshindwa kulisha wanafunzi hivyo imefungwaaa.... weuweee mabasi kesho yake haya hapaa[emoji23][emoji23] kuna ticha wa kiume akanambia mkakunwe salama mkirudi tusisikie tena vicheko vya hovyo
Kuna vitu viwili unachanganya hapo mkuu. Kumbuka Kibosho ni wilaya ya Moshi vijijini na Machame ni wilaya ya Hai. Sasa Lyamungo iko wilaya ya Hai.Machame inatenganishwa na mto. Hivo kwa ninavojua mimi lyamungo ipo kibosho machame ni mpaka uvuke mto uliopo chin ya lyamungo kutoka kijiweni so sidhani kama lyamungo ipo machame
Yule ni Ntubanga na sio Kabanga mkuu.Kilichofata ni maandamano hadi kwa mkuu wa mkoa chini ya maandalizi ya Haizulu na Kabanga.
Namuita kenge kwa sababu alikuja kuitelekeza familia akaenda kusiko julikana. Mke wake akawa cha wote ukienda hata na buku fresh tuu unapiga kimoja cha afya unasepa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
SchoolmateBinafsi nimesoma mlama sec huo mwaka umbwe sec waliogopeka miaka hiyo na nina kumbukumbu mimi huo mwaka 2009 nilikuwa Mlama sec. Pale.
Amina,hii makitu imetokea nimeshamaliza hapo mti msafisitaki kukumbuka nyakati zile, hasa maiv ya yule mama na sauti ya mkuu wa wilaya akitangaza kifo cha mshkaji alisema hivi, 'mtoto akililia wembe mpe ajikate, vijana mmeenda kuchezea wembe mmejikata mmempoteza mwenzenu kwa upumbavu wenu' RPC utawaletea maiti ya mwenzao waje waione kabla ya mazishi yake' aisee ni bahati familia iliona si busara, nyakati zote mwili ulikua kama umepata ganzi hivi.
.
.
miaka michache imepita sasa nimegundua mwanaume akikaa mwenyewe kwa muda mrefu anakua na hasira za ajabu sana, dogo aliefariki alipigwa na slesha iliyonolewa kama jambia.. huku wa lyamungo amechinjwa kwa seng'enge.
.
.
kisa uhasama ambao tumeukuta toka kitambo, pale nahisi umachame na ukibosho umo ndani ya zile shule, umbwe tuliona ufahari sana kukuta viti vya shule ya lyamungo tumeviiba na tunavisomea.
.
.
mkuu wa wilaya akasema nimeskia skia kuna viti vinasababisha haya sasa WANAUME LETENI KITI KIMOJA TUWAKABIDHI KAMA ALAMA YA USULUHISHI, likapikwa pilau shule tule na lyamungo, wakaja viongoz wa lyamungo wadau wanataka watie sumu kwenye chakula, mara wawafungie ndani ya darasa wapige ambush,
.
.
unapigwa wimbo wa shule mtu anaimba kwa hisia, kama vile anaitetea nchi yake!
.
.
Mr financial asante kwa kumbukumbu, apumzike kwa Amani mwana Umbwe mwenzetu na Mwanalyamungo, Mola atusamehe kwa dhambi zile, ilikua ni mbaya sana yale mambo!
Miaka ipi iyo naamini wewe ni kijana wa labre na kina Munisi asee sisi tulikuwa tuko salama tuna ulinzi kabisa sio hawa umbweSchoolmate
Uyo makange siasa yake ndio iliiharibu umbwe muongo sana, stori miaKipindi Cha makange umbwe ilifika hatua tukaiita college kulikua na ufree uliopitiliza, migomo isiyoisha, walikua kupigwa ilikua ni mwendo wa uharamia, watu mda wowote wanaenda kulewa mpaka wanazima wanaletwa shuleni hawajielewi
Lyimo nae shule ilikuja mshinda tatizo ni wapigaji wa hela, shule ikawa na matatizo mengi kwa migomo ikawa kila uchwao
Kipindi hicho form one mpaka six sare moja ya kaki ukija mgeni ukikaa vibaya unaingizwa mjini sababu huwezi tofautisha uyu ni form one au form four
Hii walitoboa mpira na bisibisi kilichofatia ilikuwa ni kichapo kwa wanafunzo wote wa lyamungo hadi walimu walitoka ndukiUmesahau ile fujo ya mwaka 2003 mlipokuja mpirani pale Umbwe mzee.?
Hii ilikuwepo sana Geita Secondary (Geseco) ile shule ilikuwa zaidi ya kambi ya jeshiKukata mkia maana yake ni kukaribishwa,wanachokifanya ni kuwaogesha wageni wote form five or form one kwenye maji ya mtaro yatokayo mlima Kilimanjaro saa sita kamili usiku,huku wakisindikizwa na kipigo
Nb.hayo maji yana baridi kinoma!
we ulikuwa mlambo au m'boyzia?Wapi Tabora boys na Mirambo sitasahau hii najua schoolmate mpo wengi humu mnaweza kutukumbusha