Vurugu Umbwe-Lyamungo: Miaka 12 baadae

Lyamungo hakuna mtu aliyekua wala kujeruhiwa
 
Hii yote ni rubbish hakuna ukweli ndani yake.

Hakuna mtu aliyetekwa na kupelekwa lyamungo ndani.

Na ayubu hakuwa kiongozi wa vurugu, alikuwa mwanafunzi mpya wa form 5

Alikamatwa coz alichelewaa kutoka lyamungo
 
Hii yote ni rubbish hakuna ukweli ndani yake.

Hakuna mtu aliyetekwa na kupelekwa lyamungo ndani.

Na ayubu hakuwa kiongozi wa vurugu, alikuwa mwanafunzi mpya wa form 5

Alikamatwa coz alichelewaa kutoka lyamungo
Kucheleqa kutoka alikuwa amezuiliwa uwanjan,wenzake walikubali adhabu na kuondoka ila yy aligomesha
 
Usevya 2017 & 2018 siji sahau.

Msichukulie poa wali wa uboys unaweza ua mtu zile akili sijui tulikuwa tunawaza nn Mara ya kwanza kulala ardhini na katisheti nikiwa peku mlimani.
 
mkuu umenikumbusha mbali sana. yani enzi zile unafungulia maji ya bomba la mvua unahesabu moja mpaka tatu then unajitosa kwenye bomba la mvua, unatoka unajisugua kwanzia kichwani mpaka mguuni then unahesabu tena kujiingiza kwenye maji. Yani maji yalikuwa baridi kiasi ambacho maji huthubutu kuyachezea.
Umbwe tulikuwa na mambo yetu pale Somsom na soko la Kombo
 
Haha ..duh mimi nilikuwa naoga tu pindi jua linapojitokeza tu..hahah
 
Haha ..duh mimi nilikuwa naoga tu pindi jua linapojitokeza tu..hahah
nakumbuka kipindi kile watu kutoka mikoa ya mbali walikuwa wanaamshana usiku kuangalia mlima kilimanjaro hasi kile kipindi walipo report shule,
Nakumbuka yale maisha ya ku double dah
Kipindi kulikuwa na ugomvi wa kidato cha sita na kidato cha tatu kisa kuangalia TV, naikumbuka sana Umbwe shule yangu ya kwanza ya uboyzin
 
Wanafunzi wageni mlima ukijitokeza tu wanaandamana kuangalia wanakenua kabisa hahaha....
 
Wale Wazee wenzangu wa Umbwe nadhani code yetu PUTO FONGO mna ikumbuka. Kwa miaka 2 nilio soma Advance pale Umbwe haikuwa wahi tokea tuka maliza muhula bila defender ya polisi kuja kutuliza fujo. Kifupi Umbwe ni mti safi sana umetoa watu wazito na safi sana.
 
Niliikua mpenzi wa katizi za mama msele .wapi faridaaa πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸ€Έβ€β™‚οΈπŸ€Έβ€β™‚οΈπŸ€Έβ€β™‚οΈπŸ€Έβ€β™‚οΈπŸ€Έβ€β™‚οΈ
 
Mnataka kuzipiga tena hapa JF?

Nyie jamaa bado mahasimu hata huku kitaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…