Papa Mobimba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 1,153
- 1,359
ImmunohistochemistryKipimo cha kujua una hizi CCRK5 receptors au huna kinapatikaje? Nimepata hii intrest ghafla....
Ukifanya ngono bila michubuko itakayofanya damu kugusana hakuna mdudu anakupata.... Sperm zingekua na VVU au majimaji mengine tungekufa sana na hata walio na ukimwi wasingeweza kuzaa watoto wasio na ukimwi...Usidanganye watu...wewe unapofanya ngono damu huwa zinatoka... nimeweka hii topic kwa ajili ya kuelimisha watu. Don't mislead the public.
HIV is an epidemic. And we are fighting the war
Mkuu tangu huu uzi niufungue nilikua nafatilia maswali yako na majibu ya mkuu wetu muanzisha uzi ila nikahisi wew ni mtabibu kwasababu maswali yako kidg yako in deep mtu asie na ujuzi anauliza maswali simple mfano "kwenye mate kunaukimwi"Una mambo wewe..... Tuko hapa kwa ajili ya ya kujifunza Mkuu. Nothing else.
Namsaidia.........virus huwa anaonekana sana......kwa vifaa vikubwa vya kitaalam.Mkuu Mimi Nataka kujua haya
1. Inasemekana HIV ndo kirusi hasa anasababisha UKIMWI, je ni kweli Hamna Mtu yoyote aliwahi mwona Huyu virus?
2. Inasemekana UKIMWI haumui victim, Ila magonjwa mengine nyemelezi, so let's assume AIDS victim is exposed Katika mazingira free of any diseases, je Huyu hatakufa?
Umefanya nimecheka kidogo..angalau umefanya home work yako vizuri. Unapokula pussy angalia ndugu yangu...Mkuu ilinibidi nichimbe kidogo uko sawa kabisa.....
Kwenye post yangu no 99 nimeelezea maelezo niliopewa na Doctor mmoja wa CTC kumbe nae alikua chaka kidogo.....
Shukran mkuu leo nmepata jambo jipya na muhimu kwa ajili yangu na wale wanaonizunguka....!
Nafikiri haujui couple ambazo zina HIV zinashauriwa kufanyaje linapokuja suala la kuzuia maambukizi. Baki na ujinga wako naona hutaki kujifunza!Ukifanya ngono bila michubuko itakayofanya damu kugusana hakuna mdudu anakupata.... Sperm zingekua na VVU au majimaji mengine tungekufa sana na hata walio na ukimwi wasingeweza kuzaa watoto wasio na ukimwi...
USITISHE WATU.
Kwahiyo wanaoupata wanatembea na watu wasio na HIV??Inakuwaje unatembea na Muathirika wa HIV na haupati?
Kipimo cha mate ni yale yale tu wanapima damu si mate... Kama ingekua wanapima mate kwa nini sharti la kipimo kile ni kukiweka kwenye fizi na sio ukitemee mate kitoe majibu? Hakuna VVU kwenye mate wala jasho wala maziwa wala maniiKweli mkuu nazani anautaalamu wa mambo haya lakini si general hivyo......
Ila kama wanakaa kwenye damu mbona nshawai skia kipimo cha mate ndo nkawa najiuliza inakuaje?
Pili hiyo ni chanceJwahiyo wanaoipata wanatembea na watu waisio na HIV??
HahahhJwahiyo wanaoipata wanatembea na watu waisio na HIV??
Kafanya uzi kua safi maana ametikisa kibuyu kidg kama si kukufanya ukachimbe nondo kidgNa nimefurahia maswali yake
Hukatazwi kuamini hivyo..but be watchfuKipimo cha mate ni yale yale tu wanapima damu si mate... Kama ingekua wanapima mate kwa nini sharti la kipimo kile ni kukiweka kwenye fizi na sio ukitemee mate kitoe majibu? Hakuna VVU kwenye mate wala jasho wala maziwa wala manii
.... Ingekua hivyo tungekufa sana.
Kusingekua na kumruhusu mama kunyonyesha hata ndani ya muda mchacheKipimo cha mate ni yale yale tu wanapima damu si mate... Kama ingekua wanapima mate kwa nini sharti la kipimo kile ni kukiweka kwenye fizi na sio ukitemee mate kitoe majibu? Hakuna VVU kwenye mate wala jasho wala maziwa wala manii
.... Ingekua hivyo tungekufa sana.
Hahahh
Hao huwa hawakosekani..hata darasani kuna watu walikuwa wanamuuliza Mwalimu Mkwawa alikufaje kumbe wamesoma jana usikuKafanya uzi kua safi maana ametikisa kibuyu kidg kama si kukufanya ukachimbe nondo kidg
Kuna watoto wanapata maambukizi kutokana na kunyonyesha.Kusingekua na kumruhusu mama kunyonyesha hata ndani ya muda mchache
Hahahahaaa kunawanafunzi balaa mwalimu unaweza kutoruhusu mikono ya maswaliHao huwa hawakosekani..hata darasani kuna watu walikuwa wanamuuliza Mwalimu Mkwawa alikufaje kumbe wamesoma jana usiku
Naomba kufahamishwa kuhusiana na faida za dawa mpya ambayo itaanza kutumika hapa Tanzania kama FDC - First Line Regimen.... TLD ikilinganishwa na hii inayotumika sasa ya TLE.
Asante
Inawezekana umekuwa na maswali ambayo yamekuwa yakikutatiza juu ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na ugonjwa wa UKIMWI.
Leo nakupa nafasi ya kuuliza swali lolote juu ya mada hii. Twende kazi!