Papa Mobimba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 1,153
- 1,359
Ndio tunazoita mythHii mpya kwangu
1.Mama anaweza kumuambukiza mtoto virusi vya UKIMWI katika njia tatu. Akiwa tumboni, wakati wa kujifungua na wakati wa kunyonyesha. Njia nzuri ya kupunguza maambukizi kwa mtoto akiwa tumboni ni mama kutumia dawa za ARV na pili kujifungua kwa njia ya UpasuajiMleta mada, hongera kwa kuanzisha mada hii,
Ni msaada mkubwa kwetu.
Mimi nina maswali machache,
1. Tunasikia Mama muathirika anaweza jifungua mtoto asiye na vvu, Je ni huwa kwa njia ya kujifungua kwa operation au kwa njia ya uke?
2. Je mtu anaweza kuwa na VVU na sioneshe hizo dalili zote za mwanzo ndani ya wiki 6?
3. Kwa mtu maenye miaka 20, akaambukizwa vvu, Je anaweza ishi hata miaka 50 kwa kufuata mashart?
Shukrani!!
Kunakitu inaitwa dental dam husaidia kupunguza kupata maambukizi wakati wa kunyonya KZingatia matumizi sahihi ya kondom kila wakati sawa mkuu sasa vp kuhusu mate mana hii bwna unaweza zingatia matumiz ya kondom lakini denda mkuu denda hapo vp??
Akitumia dawa ambazo zinatibu kama TB n.k bila kutumia ARV, 100% huyo mtu atakuwa HIV NEGATIVE baada ya muda kadhaa.Kuna ulazima gani wa kutumia vidonge kila siku? Kwa nini muathirika asitibiwe ugonjwa anao umwa tu mfano kama ana kikohozi?
Sayansi haijathibitisha kwamba kuna mtu yeyote alipona HIV kutokana na maombiNikweli maombezi, (kuombewa) kuna ponya ngoma??
Kuna uwezekano Wa kutopata maambukizi, lakini ni muhimu kutumia kinga muda woteSio kuwa ajipe moyo!! Hilo lipo na linawezekana kabisa. Mtu aka sex na muathirika wa ukimwi, na wakati huyo muathirika hatumii ARV, na bado asipate hata apime mala mia!! Tunataka maelezo ya kitaalamu na sio mipasho
Majibu ya aina hii huwa yananidiscourage saana kuchangia mijadala,Sihitaji kusoma zaidi. Nina uhakika asilimia mia ya nilichokieleza. Labda jaribu kupitia tena source yako
Sina jibu zaidiMkuu wewe ni Mtaalamu wa Afya? sidhani..
AsanteJamaa umeivaa.
Mwenyewe tuPeke yako mkuu
HAKIJAWAHI KUONEKANA KIRUSI CHA HUYO ANAYESABABISHA UKIMWI, NI SAWA NA UNAVYOAMBIWA DUNIA NI DUARA ILA NI KARNE YA 21 SASA TUNA SATELITES NYINGI ANGANI ILA HAKUNA PICHA AMBAYO NI HALISI YA SAYARI YA DUNIA.Kuhusu virus kuwa wadogo Lazima electronic microscope hiyo si tu virus Hata bacteria, and some protozoans
Nilichouliza mimi Inasemekana kwamba HIV virus Hamna aliewahi kumwona even using such device. Je ni kweli, if so lete proof mkuu
Maswali:
1. Unamfahamu Robert Gallo katika swala hili la HIV/Ukimwi- unamfahamuje?
2. Ni nini asili ya kweli ya VVU !? Ingawaje kumekuwa na taarifa au nadharia za sokwe na maabara.
3. Inawezekana kukubalika kuwa kweli dawa ya kutibu HIV/AIDS haipo duniani hapa na haijagundulika !?
Hahahahahaha HAKUNA MKUU.Unaweza ukatuonyesha picha ya kirusi cha ukimwi?
Utibu TB hafu iwe HIV negative...that's miracleAkitumia dawa ambazo zinatibu kama TB n.k bila kutumia ARV, 100% huyo mtu atakuwa HIV NEGATIVE baada ya muda kadhaa.
Sidhani kama unahitaji kufa moyo. Ndio maana nikakuambia pitia tena source yako. Mimi niko 100% correctMajibu ya aina hii huwa yananidiscourage saana kuchangia mijadala,
JidanganyeniSentensi yako ya kwanza ni sahihi kabisa, HAKUNA KIRUSI KINACHOLETA UKIMWI.
HAKUNA.
Anaweza kuambukiza lakini uwezo wa kuambukiza unakuwa umepungua. Kumbuka kutumia kinga daimaJe ni kweli mtu anaetumia ARVs hawezi kuambukiza virusi
Twende hiviHAKIJAWAHI KUONEKANA KIRUSI CHA HUYO ANAYESABABISHA UKIMWI, NI SAWA NA UNAVYOAMBIWA DUNIA NI DUARA ILA NI KARNE YA 21 SASA TUNA SATELITES NYINGI ANGANI ILA HAKUNA PICHA AMBAYO NI HALISI YA SAYARI YA DUNIA.
UKIMWI upo kwa mtu yoyot yule, UKIMWI ni Upungufu wa Kinga Mwilini, UKIMWI tukaanza kudanganywa kuwa waletwa na VVU ambae kiuhalisia mpaka naandika Comment hii HAKUNA MWANASAYANSI ALIYEWAHI KUMUONA HUYO VIRUS.