VVU na UKIMWI: Historia yeke, chanzo cha maambukizi, dalili, kinga na juhudi za kupambana na ugonjwa huu

VVU na UKIMWI: Historia yeke, chanzo cha maambukizi, dalili, kinga na juhudi za kupambana na ugonjwa huu

Sio mara zote mtu unapokutana na mtu mwenye maambukizi ya VVU anaweza kupata maambukizi pia. Kuna sababu mbalimbali zinaweza kusababisha mtu kutopata maambukizi, lakini kwa ufupi kabisa inategemea na afya ya huyu mtu kwa ujumla iwapo anaambukizi mengine, lishe yake, magonjwa ya zinaa, na sababu za kigenetiki na pia aina ya sex waliyofanya pamoja na hali ya afya ya mgonjwa iwapo anatumia dawa
With all due respect, naomba ufafanue kidogo kuhusu maambukizi na genetics lakini pia ningependa kufahamu ni kweli kuwa kuna kundi/makundi ya damu hayana receptors za HIV?
 
papa mobimba!
mwanangu ( miaka2.4) alimgang'ata mjomba wake ambaye ni HIV+ adi kumuachia alama/kidonda mkoni, ebu nipe chance /probability ya mwanangu kuambukizwa HIV, since then sijawahi kuwa na amani moyoni na kumpeleka kupima roho inauma inakataa .......
 
With all due respect, naomba ufafanue kidogo kuhusu maambukizi na genetics lakini pia ningependa kufahamu ni kweli kuwa kuna kundi/makundi ya damu hayana receptors za HIV?
Kuna watu ambao genetically hawako susceptible na kupata maambukizi ya VVU. Hii ikoje .. iko hivi kuna baadhi ya watu hawana vitu CCRK5 (hizi ni aina ya protein) .sasa kama utarithi allele mbili seli zako za damu zitakosa hizo protein. Hivyo HIV wakiingia kwenye mwili watashindwa kushambulia seli zako.

Na hii sio makundi ya damu. Hii ni mtu na mtu bila kujali kundi lake la damu
 
papa mobimba!
mwanangu ( miaka2.4) alimgang'ata mjomba wake ambaye ni HIV+ adi kumuachia alama/kidonda mkoni, ebu nipe chance /probability ya mwanangu kuambukizwa HIV, since then sijawahi kuwa na amani moyoni na kumpeleka kupima roho inauma inakataa .......
Risk ya kupata maambukizi ya VVU ipo. Lakini pia inategemea na ngozi yake ya mdomoni ilikuwaje. Pili njia nzuri ya kujua ni kupima. Na ukimpeleka kumpima utamtendea haki. Nenda braza.
 
1.Mkuu inasemekana virus wanaishi ndani ya seli nyeupe tu? Ni kweli?
2.kama ni kweli vp kwenye mate,na fluid zingne ikoje?
3.mtu anayetumia ARV tunaiman anazuia virus wasizaliane na kama wako kwenye cell watabaki humo siyo? Na cell zina mda wake wakuishi ,je cell hiyo inavokufa na wao hufa na cell au ?
The infected cell Burst and release the new virus that goes to infected new cells and the vicious cycle of infection continue.Lol
 
With all due respect, naomba ufafanue kidogo kuhusu maambukizi na genetics lakini pia ningependa kufahamu ni kweli kuwa kuna kundi/makundi ya damu hayana receptors za HIV?
Pamoja na swali hili? Inasemekana kuwa kuna watu ambao ni waasirika/wana HIV ila ni "passive" (carriers) yaani wao hawana AIDS/UKIMWI lakini wanaweza kuambukiza wengine kama kawaida.

1. Je, uvumi huu ni wa kweli?
2. Je, ni kweli carriers hawa wao huwaga hawapati UKIMWI/AIDS ktk maisha yao yote?. na kwamba huwaga hawapotezi maisha 7bu ya UKIMWI/AIDS?
 
Back
Top Bottom