VVU na UKIMWI: Historia yeke, chanzo cha maambukizi, dalili, kinga na juhudi za kupambana na ugonjwa huu

VVU na UKIMWI: Historia yeke, chanzo cha maambukizi, dalili, kinga na juhudi za kupambana na ugonjwa huu

Virusi wa UKIMWI wana uwezo wa moja kwa moja wa kushambulia mfumo wa fahamu hasa ubongo. Hivyo wakati mwingine mtu anaweza kuumwa matatizo ya akili kutokana na virus hawa. Mara nyingi wakianza kutumia dawa na kinga kupanda Ile ugonjwa wa akili unapona
Hii si kweli.
Virusi havishambulii mfumo wa fahamu (cns) virusi husababisha (inflamation) uvimbe mwilini sasa huo uvimbe unaweza kuathri uti wa mgongo ambao ndio mfumo unaounganisha ubongo. Ni uvimbe si mashambulizi mengine. ARV'S zinawafubaza wale wadudu wasiongezeke mwilini hamna uhusiano wa kupanda kichwani.
 
Hii si kweli.
Virusi havishambulii mfumo wa fahamu (cns) virusi husababisha (inflamation) uvimbe mwilini sasa huo uvimbe unaweza kuathri uti wa mgongo ambao ndio mfumo unaounganisha ubongo. Ni uvimbe si mashambulizi mengine. ARV'S zinawafubaza wale wadudu wasiongezeke mwilini hamna uhusiano wa kupanda kichwani.
Naona hujui kuwa magonjwa yote husababisha inflammation. Inflammation hutokea mwili unapojaribu kupambana na ugonjwa
 
Kaka Kuzungumza HIV AIDS bila kuhusisha mipango ya New world order (NWO) iliyosimamiwa na Henry Kissinger wa USA na mwenzake wa UK mantiki ya asili ya Ukimwi inakosa nguvu kwa mtu aliyezama zaidi.

Katika uongozi wa Richard Nixon, kwa influence kubwa ya the Rockefeller na watawala wengine wa Dunia waliandaa mipango lukuki ya kuweka order ya dunia. Vitu kama depopulation, free market economy, regional integration, na globalization n.k., nk.,etc nyingi ni makusudi yake.

Katika kipengele cha depopulation, biological weapons ilipewa nguvu kuliko Inuclear weapons. Matatizo ya HIV AIDS, na Ebola ni mpango mahsusi.

Kama mnakumbuka kimeta (chemical weapons) ilikuwa sehemu ya mpango, baadaye ikashtukiwa. Wakawekeza zaidi kwenye vyakula tunavyokula (processed foods) vya kiwandani. Mipango ni mingi, terrorism/ugaidi nayo ni mojawapo. Na ni mipango ya muda mrefu sana na itafanikiwa kwa sababu wanashughulika zaidi na akili na tabia zetu (psychological shaping), kwa usaidizi wa media na umaskini wetu.

Tukirudi kwenye HIV AIDS, chochote kinachofanyika khs Ukimwi kwa maana ya tafsiri yake, maambukizi na usambazaji, kinga, na tiba au kuponya ni vitu vinavyopita kwenye scheme/resolution/plans zao.

Majibu yako mengi, yamejikita katika utimilifu wa malengo ya waliopanga hii zahma. Siyo kosa lako, ndiyo mafundisho yanayotolewa hususani waliopo sekta ya afya. Kwa bahati mbaya, Elimu zetu haziruhusu mawazo tofauti/mbadala.

In short HIV AIDS ni depopulation tool encompassed with international business. At the same time ikiwafanya raia wa mataifa yakiwa na watu dhaifu mentally, physically and psychologically ili watawalike na wawe tegemezi.

Hakuna nia nzuri kwenye HIV AIDS, hakuna nia nzuri kwenye HIV transmission na prevention wala kwenye treatment.
 
Dig the EA, Karagabao..hivi unajua kwenye genera ya Lentivirus kuna virus wa aina ngapi??

Na hao vizuri Kwanini ni slow progresser...
 
Kaka ARV inaharibu mfumo wa akili (nervous system) ambayo inabeba uti wa mgongo na ubongo. Jaribu kusoma studies / Research mbali mbali zilizofanywa juu ya hilo. ARV zina uwezo wa kupunguza au huharibu uwezo wa mfumo huo. Ukitaka kuamini, mchukue mtoto aliyeupata Ukimwi akiwa mtoto, harafu mfanyie longitudinal study au correlation, uone utakayoyaona .
 
Kaka ARV inaharibu mfumo wa akili (nervous system) ambayo inabeba uti wa mgongo na ubongo. Jaribu kusoma studies / Research mbali mbali zilizofanywa juu ya hilo. ARV zina uwezo wa kupunguza au huharibu uwezo wa mfumo huo. Ukitaka kuamini, mchukue mtoto aliyeupata Ukimwi akiwa mtoto, harafu mfanyie longitudinal study au correlation, uone utakayoyaona .
Sasa longitudinal study unaona causative vs effect... hiyo cause effect unaona kwa kutumia cohort study design...

Mengine achana nayo... usionyeshe ulivyo shallow
 
Kaka ARV inaharibu mfumo wa akili (nervous system) ambayo inabeba uti wa mgongo na ubongo. Jaribu kusoma studies / Research mbali mbali zilizofanywa juu ya hilo. ARV zina uwezo wa kupunguza au huharibu uwezo wa mfumo huo. Ukitaka kuamini, mchukue mtoto aliyeupata Ukimwi akiwa mtoto, harafu mfanyie longitudinal study au correlation, uone utakayoyaona .
Hakuna dawa ambao haina side effects haipo hapa duniani. Hata dawa za presha zinaweza kusababisha kisukari. Dawa za sukari zinaweza kusababisha matatizo ya figo, dawa za kansa zinaweza kuleta matatizo ya mapafu na nywele kunyonyoka! Kumbuka dawa is not food
 
Longitudinal studies hiyo ni cross section study design....

Utafanya nicheke kila nikikumbuka longitudinal...
 
Nina wasiwasi na huyu aliepost,ukiangalia majibu yake ni kama vile hana uelewa wowote kuhusiana na HIV
 
Back
Top Bottom