Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaa. Umeonaeeee.hahaa ukiona unaenda kupima ujue umepita sehemu hatari lazima uwe na wasiwasi umekanyaga waya, naupendaga ule muda maana ndio unaanza kutafakari maisha yako kwa ujumla, unajiapiza sitafanya ujinga tena,ila ukipita tuu mda na Mungu alivyowajalia wanawake ndio basi tena aacha mtuue tuu (hakuna ubishi wanaume wanaangamizwa na wanawake, hii ni fate kutoka kwa adam na hawa)
Majibu acha kabisa Mkuu. Huwa hayanaga ubaunsaSiku moja pale Mwananyamala nilikuwa kwenye benchi namsubiri Dr wangu na nikijisomea magazeti yangu, kumbe nimekaa benchi lao bwana..basi mmoja baada ya kusikia aliyeeingia ndani anaangua kilio alisema.. "mie basi.." huyooooo akaishia gate la kutoka nje
na huu ugonjwa unaweza kaa nao zaidi ya miaka 10 ukawa fresha tuu,unakukula taratibu ndani kwa ndani, usipopima hutajua mpaka pale utakapoonekana umeshaisha. hahaa of course wengi wanaisha na kukonda baada ya kupima lazima tukimbie.Hahaaaa. Umeonaeeee.
Na ni kweli usemalo pia ila mie najisemea kama inawezekana waanze tu kuwapima ili tuone mtakavyopata tabu.
Yani upewe chanjo ya ukimwi kama unavyopewa ya surua?[emoji3][emoji3]Jamani si walete chanjo au imeishia wapi,,wakileta chanjo unapimwa ndio unapewa chanjo kama huna HIV sasa hii kulazimishana vepeee vepee
wewe nani kakudanganyaFreshi tu,skuizi ukimwi hautishi,kansa ndio habari ya mjini
Mi ninaowajua wanamiaka zaidi ya kumi na ukiwaona huwezi amini kama ni waathirika,ukila vizuri,ukanywa dawa vizuri unapeta tu,hao siku zao zilikuwa zishafikawewe nani kakudanganya
watu wanaopata VVU niliwaona wameishi miaka mingi sana ni miaka 2 sasa hapo kuna maisha tena?
Mie mzima pia, namshukuru Maulana.
Kuna watu huwa wanaenda kupima then wanabadili gia angani na kukimbia majibu kimoja[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hofu ni kuambiwa kuwa you're HIV+
Loo hiyo ya kunywa dawa kila siku waiotoe wataokoa watu wengi sanaMi ninaowajua wanamiaka zaidi ya kumi na ukiwaona huwezi amini kama ni waathirika,ukila vizuri,ukanywa dawa vizuri unapeta tu,hao siku zao zilikuwa zishafika
Hahaha ili wote wanaoumwa wafe sio?,tatzo ni wengi mno,inchi itapoteza nguvu kazu/rasilimali watu,wengine viongozi wa kitaifa,walimu ndo kibao,sasa nchi si itasimama?.Loo hiyo ya kunywa dawa kila siku waiotoe wataokoa watu wengi sana
sasa si bora ili tuanze upyaHahaha ili wote wanaoumwa wafe sio?,tatzo ni wengi mno,inchi itapoteza nguvu kazu/rasilimali watu,wengine viongozi wa kitaifa,walimu ndo kibao,sasa nchi si itasimama?.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kama dawa zipo nitapima kama hakuna tusilazimishane mambo ya hovyo hovyo
Hakuna namna, wanaume sisi ni wabishi wa kupima na kujua afya zetu na hivyo tunasababisha kuendelea kusambaa kwa VVU. Nilifanya kazi CTC, wateja asilimia 60+ ni wanawake kwa kuwa wao sio wagumu wa kucheki afya na pia ni LAZIMA wapime VVU wakianza Maternal Clinic.
Mama akigundua ni HIV positive kimbembe kinakuja ataanzaje kumwambia baba, mwisho wa siku anaanza dawa kimya kimya.
Nakumbuka enzi zile mgambo wanawakimbiza watu wasiolipa kodi na kuwakamata na kuwatia kwenye makarandinga huku wengine wakijificha majumbani na maporini. Nahisi enzi hiyo itajirudia katika zoezi hili la kupimana ngoma kwa lazima.Popote watakapokukuta!!!!!.....
Nasikia watakuwa wanatembea barabarani kama wale vijana mawakala wa mitandao ya simu
Sio vizuri ivo mkuu,wengine wanafamilia zinawategemeasasa si bora ili tuanze upya
MmmmSio vizuri ivo mkuu,wengine wanafamilia zinawategemea
Kuwa na huruma.Mmmm
Familia tena na uhai ukikata familia anaiangalia nani?