Papa Mobimba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 1,153
- 1,359
Zinapatikana katika vituo vya afya. Ukisha fanya majanga yako nenda kituo cha afya cha karibu utapimwa utapewa dawa utumie kwa mwezi mmojaMkuu Vipi Upatikanaji Wa Hizi Dawa Upoje!, namaanisha zinapatikana hadi kwenye maduka ya dawa ya kawaida au Hadi Hospital?.