Machuchu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2017
- 1,260
- 965
Apo mm ndio nachokaga swali zuri sanaKuna ulazima gani wa kutumia vidonge kila siku? Kwa nini muathirika asitibiwe ugonjwa anao umwa tu mfano kama ana kikohozi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apo mm ndio nachokaga swali zuri sanaKuna ulazima gani wa kutumia vidonge kila siku? Kwa nini muathirika asitibiwe ugonjwa anao umwa tu mfano kama ana kikohozi?
Swali la kitaalamu unalijibu kimipasho... Nimekwambia weka microscopic image za HIV hapa wewe unajibu kama kila mtu ni mjinga humu.Whether umewahi kumuona mkeo anachepuka au hachepuki mwisho wa siku akaja na mimba... bado utasema hukumuona mkeo anachepuka
Sio mbaya mimi nilikuwa natafuta jibu tu bila kujali nani atajibuIngawa nmedandia tureni kwa mbele [emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana. HIV haina carrier. Ni ama mtu ana maambukizi au hana.Kuna ukweli wowote kwamba kuna watu wao ni carrier tu? Yaani huwa wanaambukiza wenzao ila wao wakipima hawana?
Nifafanue nini Mr.Slimkuna sehemu umejibu kua inachukua wiki 2 mpaka 6.....Fafanua kidogo
Unaijua window period weye...VVU huwezi wakuta kwenye Fluids, mpaka level ya UKIMWI ndio wanakuwa wapo mpaka huko.
Hope unajua tofauti ya VVU na UKIMWI
Point ya kutumia dawa ni kusaidia kuwapunguza HIV. UKIWAPUNGUZA HIV kinga itapanda. Sasa ukitibu kifua tu kinga haitopanda. Hivyo huyo mtu kesho atapata kifua tenaApo mm ndio nachokaga swali zuri sana
Kwa nini wengine huwa ngozi imesinyaa na kupoteza nuru na apo tayali kashaanza dozi na kufuata masharti yote.....na je kwann huwa wakari sana.
Huwezi kusoma kitabu ambacho hakijawa edited..hilo ni kama pamphlet la nyangwine😛
Msanii wewe, Bush Doctor .
Hakuna uhusiano wowote brazaMkuu
Hivi Kuna uhusiano gani Kati ya HIV na watu wenye blood group O-?