Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,004
- 3,695
Kwa wengine kikwetu mwanaume unakulaje majani we mbuzi...ni vitu choma rosti kubanika etcMboga saba...ila nyama nyeupe, mboga za majani na dona...
Matunda mvuaa...
Kifupi tajiri unapaswa kula mlo kamili
😂😂😂😂😂😂😂😂Mkuu nimebate niliweka timu kama 20 hivi kwa buku ikaja kama milioni 150 timu karibia zote ziko fresh kasoro moja inacheza leo ,
Hapo ndio nipo napangilia matumizi mkuu.
Mkeka umetiki we jamaa?!!!Bado haujatoa jibu la swali mkuu
Anajipump mno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na kweli usemalo best.
Unataka kula vyakula vya asili ya nchi gani/zipi?Achana na kabichi kwanza ukiwa na hela vyakula gani unatakiwa uvipige kwa wingi ili kufidia zile haso na misoto uliyopitia kitambo.
Najua papuchi lazima zimegwe sawa tena ukianza na wale waliokulingia wakati ukiwa kapuku,
Leo tujadili tu kwanza msosi.
Kutoka nchi ipi?.Mkuu mi nataka list ya vyakula vya kitajiri
Chakula kipi unapendelea zaidi kula?Tanzania
Jibu maswali yale mawili nijue ninaanzia wapi.Mkuu we nitajie list ya misosi mikali ya bongo