Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,004
- 3,695
Kwa wengine kikwetu mwanaume unakulaje majani we mbuzi...ni vitu choma rosti kubanika etcMboga saba...ila nyama nyeupe, mboga za majani na dona...
Matunda mvuaa...
Kifupi tajiri unapaswa kula mlo kamili