Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Umeonaeee. Na hii huwa inasababisha baadhi ya watu kufa kwa magonjwa yanayosababishwa na ulaji wa mavyakula yasiyofaa kiafya kisa tu ya pesa.Inahitajika kwa kweli,kuna baadhi ya virutubisho tunavikosa kwa imani kwamba chakula kile ni cha watu wenye vipato kile