To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣hivi sana yaanKula vitind vya mua,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣hivi sana yaanKula vitind vya mua,
😔Shukuru kula mimi nishakaa masaa 40 bila kula
Then nikaja kula makoko na maharage ya buku
Aisee,inasikitisha Sana.Nili kunywa maji ya mchele mzee, wali osha mchele Waka yaacha Nika pita nayo.
Alipaswa kua wapi?Na Leo uko jf, wewe ilikuwa unaigiza
Mapambano tu mkuuAisee,inasikitisha Sana.
Namshangaa. Tena alikula mlo uliokamilka kabisa.Mbona Kawaida mkuu....
Absolutely!Hajui ma flavour huyo.
Yaani hata mimi nimeshangaa.Nimeshtuka kumbe parachichi na ugali ni umepigika🤔🤔🤔
🤣🤣🤣🥴Namshangaa. Tena alikula mlo uliokamilka kabisa.
Watu tulikula masuku siku ikapita.
Mimi nilikuwa nakula maembe mabichi na chumvi,,mapapai ,machungwa machanga nk.Katika mida ile ya kutafuta, inafikia hatua unakula ili uishi yaani unakula chochote. Mimi nishakula ugali na chumvi mixer maji ya kunywa.
Wewe je ?
La kupika pumba za kuku ulijitakia mkuu😃Nilikosa unga ,nikapika pumba za kuku na nikamla na kuku