Vyakula vipi umekula pindi umepigika vilivyo?

Vyakula vipi umekula pindi umepigika vilivyo?

Nashukuru mungu amenipambnia Sana Sina kitu ila huruma zake nimeziona
 
Tulikuwa kempu njombe,Kuna shule tulikuwa tunajenga Mimi kama saidia fundi,basi siku ya kwanza unaambiwa yule mkurugenzi kashusha mbuzi pale watu tukasema tajiri si ndio huyu!?Ila hata hatujafika kupaua mazonge yakaanza tajiri anaonekana Kwa tochi,nakumbuka siku hakuna kitu zaidi ya unga yaani mpaka chumvi ilikuwa hamna,masela wakatoa wazo tupike tu uji,maana ugali bila mboga haiwezekani,basi wakati uji unakaribia kuiva wakaibuka wasukuma kuwa nguna lazima lisongwe asiyetaka na asile,basi ukatolewa uji kidogo ukawekwa pembeni halafu likasongwa nguna,yaani Ile linaiva linawekwa chini naona Jamaa wanakata tonge wanatowea kwenye uji,Nikaona na mm ni nani nikakata tonge nikachota uji kama mboga nikaweka mdomoni,unaambiwa dakika Tano nyingi masela wakawa wanakwangua. ukoko.
 
Kikomandoo vile😃😃😃

Ndiyo maana mtu mmoja kasema "the world is not fair but God is good"

Wenzako walipokuwa wanaufurahia "wali", wewe ulijishindia maji ya mchele mbichi. Kweli, the world is not fair...
Ndo hivyo mzee, nakumbuka nili kaa siku 3 bila kula.
 
Tulikuwa kempu njombe,Kuna shule tulikuwa tunajenga Mimi kama saidia fundi,basi siku ya kwanza unaambiwa yule mkurugenzi kashusha mbuzi pale watu tukasema tajiri si ndio huyu!?Ila hata hatujafika kupaua mazonge yakaanza tajiri anaonekana Kwa tochi,nakumbuka siku hakuna kitu zaidi ya unga yaani mpaka chumvi ilikuwa hamna,masela wakatoa wazo tupike tu uji,maana ugali bila mboga haiwezekani,basi wakati uji unakaribia kuiva wakaibuka wasukuma kuwa nguna lazima lisongwe asiyetaka na asile,basi ukatolewa uji kidogo ukawekwa pembeni halafu likasongwa nguna,yaani Ile linaiva linawekwa chini naona Jamaa wanakata tonge wanatowea kwenye uji,Nikaona na mm ni nani nikakata tonge nikachota uji kama mboga nikaweka mdomoni,unaambiwa dakika Tano nyingi masela wakawa wanakwangua. ukoko.
Mbele ya njaa, hata ugali mkavu huwa mtamu.

Ukisikia mtu kashindwa kula ugali kisa hakuna mboga, ujue njaa bado haijamkolea.

Akikaa siku tatu bila kula chochote, atakuwa tayari kula chochote maadam si sumu, hata mende, nyoka na vyura wabichi.
 
Uzi mzuri na Unanitia nguvu kuona Kumbe kila mtu ana nyakati Zake za moto.

Mimi taingia jana asubuhi mpaka muda huu ni vikombe vya maji tu ndo vimehusika tumboni.
Usiku wa Jana ulikuwa mrefu sana sijui wa leo.
Kamsalimie hata jirani.
 
KATIKA MIDA HILE YA KUTAFUTA , INAFIKIA HATUA UNAKULA ILI UISHI YAANI UNAKULA CHOCHOTE ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, MIMI NSHAKULA UGALI NA CHUMVI................MIXER MAJI YA KUNYWA................................








































WEWE JE ?
Nimeshawahi kula Ugali kwa harufu ya soksi.
Nilikosa unga ,nikapika pumba za kuku na nikamla na kuku
 
Anakuletea dharau hajui we mnyachusa na ni kawaida, je ukimwambia kuwa unakunywa chai na ndizi kisukari si atakukimbia wewe huyu.
Aje nimfunze maisha...japo hiyo ni wanyasa
 
KATIKA MIDA HILE YA KUTAFUTA , INAFIKIA HATUA UNAKULA ILI UISHI YAANI UNAKULA CHOCHOTE ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,, MIMI NSHAKULA UGALI NA CHUMVI................MIXER MAJI YA KUNYWA................................








































WEWE JE ?
Kumbe Hali hii tumepitia wengi mzee wangu Mungu ampumzishe kwa Amani alinifanya kua na uwezo wa kufikiri zaidi hasa shida inapoingia ugali kwa kuchovya kwenye chumvi ilinikuta mpk kubaki na maswali mengi inamaana mzee kakosa pesa ya mboga kabisa
 
Katika kupigika niliwahi kula demu mbaya sura mpaka umbo, nilikula nimefumba macho. Sitasahau

Kuhusu chakula ntasema badae
 
nishakula sana sambusa za viazi 5 na juice ya kitengeneza ya 500 kila jioni.... asubuhi na mchana ilikua nikipata nakula nikikosa navunga..... mpaka leo nikipita kwa mama aliekua anauza sambusa na juice nakumbuka sana kipindi nilichopitia.
 
Back
Top Bottom