Alafu bado tunajiona vijana 😅Yaan daah mpaka nimeogopa...inapiga joints zote
Mhh!
Yaan kabisa aisee🤣🤭Alafu bado tunajiona vijana 😅
Tushazeeka
Hamna lakini hawa viumbe sijui wana shida gani zunguka sehem nyingi vyakula wakipika vinakuwa vibaya! Sasa sijui ni vile wanajidai ni multiworkers!
Kwamba wanaweza shughuli nyingi kwa pamoja au nini
Mvi ndio zimegoma kutokaYaan kabisa aisee🤣🤭
Ni kweliKuna ndugu yangu anamiliki kumbi za harusi 6 zipo mbezi beach na zingine sinza
Katika kumbi zake haruhusu chakula kitoke nje.. catering na mapambo anafanya mwenyewe mwenye ukumbi.
Kwenye hao wapishi wake wa catering.. wote ni wanaume tupu. Wanawake kazi yao ni kukata kachumbari tu. Na kusafisha jiko
Mimi nilishangaa, nikauliza kwa nini hawapiki wanawake ? Nikajibiwa kwamba wanawake hawawezi kupika chakula cha watu wengi.. maana hawana umakini kwenye mapishi. Wanapiga umbea huku wanapika hivyo wanakosea kosea sana
EbooooMie tenaaaa....!!!
Tunafanya makusudi kuwakomoa watu flani flani walioko kwenye hiyo shughuli/msiba.
Lengo kuharibu tuu....
Zinaitwa mudi za kike 🤪.
Wee sema kweliKama kuna kitu hatuwezi wazidi wanaume ni nguvu za mwili/misuli. Ile geuza, changanya, pakua nadhani inawashinda wanawake sababu ya eneji ndogo.
Sasa huyo hakuwa mpishi! Akikuwa muoka mikateKuna huyo mpishi wetu wa high school ikifika zamu yake kupika walaah mtakula vibichi… akibandika wali anapalia moja kwa moja anafunga mlango wa jikoni anaweka funguo juu ya mlango huyo anasepa basi muda wa msosi ni kutafuna michele tu
Tulikuwa hatumtaki mpk tunagoma kula ila haikuwezekana maana yeye alikuwa akilipwa na serikali sio shule
Huyu alikuwa wa kiume
Mi zipo zimeanzia chini mkuu🤦Mvi ndio zimegoma kutoka
Chini wapi hebu nione.Mi zipo zimeanzia chini mkuu🤦
Napo shida tupuKwenye swala la usafi meamua kufunika kombe siyo.
Kwa kweli.Kweli kabisa. Hata ma-cheaf wa hotels kubwa wengi ni wanaume.
Wachoma nyama pia ni wanaume. Ni kazi yao wametusakizia tu sie