CCM ni chama kikubwa sanaYani ACT inatumiwa na CCM halafu imekutana na wanaotumiwa zaidi 😂😂
huko kusini kaletewa kikosi kizima ili asifungue tawi .Yani ACT inatumiwa na CCM halafu imekutana na wanaotumiwa zaidi [emoji23][emoji23]
Hivi vyama vya kipumbavu sanaVvya tisa vya siasa Zanzibar, vimesema kauli ya Chama cha ACT-Wazalendo ya kupinga uteuzi wa Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Thabit Idarous Faina, haina nia njema kwa Zanzibar.
Hivi karibuni, ACT Wazalendo kilisema hakikubaliani na uteuzi wa Faina kwa madai yeye ndiye alikuwa mkurugenzi wa ZEC katika uchaguzi wa mwaka 2020 ambao haukuwa huru na haki.
Source: Mwananchi
MBONA HUJAVITAJA HIVYO VYAMA?Vvya tisa vya siasa Zanzibar, vimesema kauli ya Chama cha ACT-Wazalendo ya kupinga uteuzi wa Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Thabit Idarous Faina, haina nia njema kwa Zanzibar.
Hivi karibuni, ACT Wazalendo kilisema hakikubaliani na uteuzi wa Faina kwa madai yeye ndiye alikuwa mkurugenzi wa ZEC katika uchaguzi wa mwaka 2020 ambao haukuwa huru na haki.
Source: Mwananchi
Sasa wanapinga bila kutoa hoja yeyote? Nia njema ni kumuweka mtu aliyekwisha fanya madudu?
Ni toka lini uteuzi unaofanywa na rais hupingwa mahakamani?Waende mahakamani
Hivyo vyama 9 si ni mawakala wa ccm?!Vvya tisa vya siasa Zanzibar, vimesema kauli ya Chama cha ACT-Wazalendo ya kupinga uteuzi wa Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Thabit Idarous Faina, haina nia njema kwa Zanzibar.
Hivi karibuni, ACT Wazalendo kilisema hakikubaliani na uteuzi wa Faina kwa madai yeye ndiye alikuwa mkurugenzi wa ZEC katika uchaguzi wa mwaka 2020 ambao haukuwa huru na haki.
Source: Mwananchi
Nami ndio nawauliza hao wanaopinga kauli ya ACT. Hivyo naungana na ACT.Hawakutoa hoja? Huyu alieteuliwa ndie aliefanya madudu uchaguzi uliopita, sasa unafikiri ACT watafurahi kuona amerejeshwa tena?
Nadhani wanaongozwa na Hamad Rashid. Huyo mzee ni bonge la Juha haijapata kutokea, mie akinipitia karibu na hakuna ushahidi lazima nimchape kelbu akakandwe majimoto na mkewe!Hivyo vyama 9 si ni mawakala wa ccm?!
Kama ni hivyo basi Sio Vyama vya Upinzani ni Vyama Tanzu vya CCM na ACT Tanzania kuna Chama kimoja tu cha UPINZANI hata hivyo Vyama VINAJUAVyama vyote vilivyopo Zanzibar ukitoa CCM, ACT na Chadema