tamsana
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 3,739
- 8,044
Vvya tisa vya siasa Zanzibar, vimesema kauli ya Chama cha ACT-Wazalendo ya kupinga uteuzi wa Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Thabit Idarous Faina, haina nia njema kwa Zanzibar.
Hivi karibuni, ACT Wazalendo kilisema hakikubaliani na uteuzi wa Faina kwa madai yeye ndiye alikuwa mkurugenzi wa ZEC katika uchaguzi wa mwaka 2020 ambao haukuwa huru na haki.
Source: Mwananchi
Hivi karibuni, ACT Wazalendo kilisema hakikubaliani na uteuzi wa Faina kwa madai yeye ndiye alikuwa mkurugenzi wa ZEC katika uchaguzi wa mwaka 2020 ambao haukuwa huru na haki.
Source: Mwananchi