Abou Shaymaa
JF-Expert Member
- Oct 19, 2022
- 1,479
- 3,229
Kwanin sasa musiwadai muliowapa dhamana ya kuwalinda? Andamana nenda ubalozi wa israel kadai coz wao ndy tuliwapa dhaman ya kuwalinda,tukiwadai wao watafanya jitihada kuwafata huko kwa KAMASTunadai watu wetu watanzania wenzetu hayo mambo yao ya Israel na Hamas hayatuhusu kwenye hili la mateka washikiliwa na Hamas .Tunataka Hamas wawaachie watanzania wenzetu waliowateka na wanaowashikilia
Mambo yao ya Hamas na Israel yao tunataka Hamas waachie Watanzania wenzetu nani ana vifaa nani hana hayatuhusu
Hamas ndio wanasshikilia watanzania wenzetu mateka wawaachie
Palestina ina mamlaka yake inajitegemea na Tanzania tunawatambua kama taifa na wana ubalozi Tanzania kwa nini tudai Israel wakati Tanzania kuna ubalozi wa nchi ya Palestina ambako Hamas wako chini yao?Kwanin sasa musiwadai muliowapa dhamana ya kuwalinda? Andamana nenda ubalozi wa israel kadai coz wao ndy tuliwapa dhaman ya kuwalinda,tukiwadai wao watafanya jitihada kuwafata huko kwa KAMAS
Maandamano yanatakiwa kuwa na kiongoziNakaziaš
Ingawa ingefaa kusema watanzania waandamane (siyo vyama tu)
Kama Wana mawe kwanini wasingerusha mawe. wakarusha maroketi?.Yaliyopo kule,Hamas wanatawala Gaza,Fatah na mamlaka ya palestina wanatawala West Bank.
Hamas na Fatah hawapiki chungu kimoja ila lengo lao Moja.
Ukiandamana unawaonea Mamlaka ya Palestina hawana ubavu WA kumdhibiti Hamas.
Hivi kweli Hashim Rungwe-Chauma ataandamana yule?
Taifa teule Leo hii la kushindwa kuwaokoa mateka 260, Hilo Taifa si lina aina zote za siraha tofauti na mgambo wenye mawe mkononi?
Wa kwetu tunataka waletwe wawe hai au maitiMishabiki ya Hamas nadhni itatulia kwa sasa at least kwa news hii.. Japo Hamas washatangaza kuwa Mateka 50 washadedi tayari sababu ya Air Strikes