- Thread starter
- #21
Mkuu anaitwa Sisty Nyahoza- Msajili msaidizi, alikuwa pandikizi la Magufuli na kada mtiifu wa CCM!Hivi yule nyahonga aliyekuwa anapeleka barua za kuzuia kampeni za lisu kwa bodaboda pale ufipa yu wapi???
Nchi hii ilifika papaya sana