Nikihandika huwaga nawekeza ,kwa maana haya wanayoyafanya Chadema ni kwa ajili ya ulaji hawana tofauti na waita vikao wa CCM au serikali nimekusudia posho.
Posho haina tofauti na ile ijulikanayo chauchau inabidi uzamie sana ndio utaiona.
Madai baba ni kuhusu uchaguzi ujao nini kinasemwa,nini kinaamuliwa na nini kimekubaliwa ,kwa muda tulionao sio wa kumjadili Manenepa ,mambo mengine ni yao wao ikiwa watasemwa watatukanwa ni yao CCM ,upinzani ni lazima kuwepo na ratiba ya mwendokasi kuelekea uchaguzi mkuu ,tusikwepeshwe uhalisia mara tunapelekwa Ukraine kutoka huko transit Gaza na sasa tunaelekezwa Iran ,hayo ni yao.
Hapa chumbani kwetu kiwavi jeshi ccm kila uchaguzi kinatumaliza kiurahisi sana,tatizo sugu ni Tume huru ,tena iwe huru kikwelikweli na kukubaliwa katika hatua zote,sio kututafutia Tume yenye mamluki, wallai CCM watatupiga bao kila uchaguzi.