Vyama vya upinzani mnapaswa kujilaumu kwa wananchi kujiandikisha daftari badala ya kutumia kadi za kura

Vyama vya upinzani mnapaswa kujilaumu kwa wananchi kujiandikisha daftari badala ya kutumia kadi za kura

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Zoezi hili limekuwa la AIBU kubwa kwa nchi inayoongozwa kwa sheria, taratibu na kanuni. Iweje marehemu, watoto wenye umri wa chini ya miaka 18, walioachana na waume zao na hawapo kwenye eneo hilo mfano Wilaya ya Tarime waandikishwe?.

Mimi niliitwa na CHAMA fulani kuwa niorodheshwe lakini nikwaambia mimi ni mtu mzima sitaki mchezo kama huo.

Vyama vya upinzani mnatakiwa mjilaumu wenyewe kwa kutumia daftari badala ya kadi za kupigia kura ambapo pasingekuwa na kasoro kama hizi. Hivci hii nchi tunaipeleka wapi?.
 
Back
Top Bottom