Pre GE2025 Vyama vya Upinzani nchini Tanzania vina uwezo wa kuitoa CCM madarakani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Matapeli ni matapeli tu watu wapo kazini Baada ya watu kukosa ajira wakaamua wajiajiri kwa kuanzisha vyama vya siasa

Vyama vingine ata ofisi havina
Vingine ni matawi ya CCM
🤣🤣🤣🤣
 
Watakaoitoa CCM madarakani ni wapiga kura wanaojitambua. So far siwaoni Labda tusubiri miaka 30 ijayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…