LIKUD JF-Expert Member Joined Dec 26, 2012 Posts 18,037 Reaction score 33,681 Jan 11, 2024 Thread starter #21 std7 said: Matapeli ni matapeli tu watu wapo kazini Baada ya watu kukosa ajira wakaamua wajiajiri kwa kuanzisha vyama vya siasa Vyama vingine ata ofisi havina Vingine ni matawi ya CCM Click to expand... 🤣🤣🤣🤣
std7 said: Matapeli ni matapeli tu watu wapo kazini Baada ya watu kukosa ajira wakaamua wajiajiri kwa kuanzisha vyama vya siasa Vyama vingine ata ofisi havina Vingine ni matawi ya CCM Click to expand... 🤣🤣🤣🤣
LIKUD JF-Expert Member Joined Dec 26, 2012 Posts 18,037 Reaction score 33,681 Jan 11, 2024 Thread starter #22 TUJITEGEMEE said: Ndiyo maana nasema Ndugu Paskali Mayalla yupo sahihi. Vyama vya Siasa viondolewe ruzuku Click to expand... 100% sahihi
TUJITEGEMEE said: Ndiyo maana nasema Ndugu Paskali Mayalla yupo sahihi. Vyama vya Siasa viondolewe ruzuku Click to expand... 100% sahihi
MGOGOHALISI JF-Expert Member Joined Apr 16, 2011 Posts 3,294 Reaction score 4,920 Jun 17, 2024 #23 LIKUD said: Ni utapeli unao fanywa na Vyama vya Upinzani nchini Tanzania kuwaaminisha watanzania kwamba vina uwezo wa kuitoa CCM madarakani wakati vinajua kabisa havina uwezo huo. Mtanzania kataa huo utapeli. # Come 2025, I will "Samia" my vote . What about u? Click to expand... Watakaoitoa CCM madarakani ni wapiga kura wanaojitambua. So far siwaoni Labda tusubiri miaka 30 ijayo.
LIKUD said: Ni utapeli unao fanywa na Vyama vya Upinzani nchini Tanzania kuwaaminisha watanzania kwamba vina uwezo wa kuitoa CCM madarakani wakati vinajua kabisa havina uwezo huo. Mtanzania kataa huo utapeli. # Come 2025, I will "Samia" my vote . What about u? Click to expand... Watakaoitoa CCM madarakani ni wapiga kura wanaojitambua. So far siwaoni Labda tusubiri miaka 30 ijayo.