Vyombo vya Habari andaeni Makala kuhusu changamoto ya Upatikanaji wa Huduma za maji

Vyombo vya Habari andaeni Makala kuhusu changamoto ya Upatikanaji wa Huduma za maji

Rukie

Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
78
Reaction score
126
Habari za Leo wapendwa

Binafsi nina familia na ninaona namna familia yangu jinsi inavyopitia kipindi kigum kutokana na hii changamoto ya Maji.

Mimi nilikuwa nashauri Media zote nchini waandae Makala kuhusu upatikanaji wa Maji wazunguke mitaa yote jiji la Dar es salaam wahoji wananchi na waripoti changamoto hii Kisha wawahoji DAWASCO na waache kuripoti upande Mmoja Hali ya Maji ni mbaya sana hasa Kwa sisi Watanzania wenye kipato Cha chini

Media kuweni wabunifu mtoe habari critical na sio kutoa habari za udaku na uzinduzi mjaribu kufanya transformation angalia media za nje namna zinavyoripoti matukio mbalimbali nyie mpompo tu
 
Habari za Leo wapendwa

Binafsi nina familia na ninaona namna familia yangu jinsi inavyopitia kipindi kigum kutokana na hii changamoto ya Maji.

Mimi nilikuwa nashauri Media zote nchini waandae Makala kuhusu upatikanaji wa Maji wazunguke mitaa yote jiji la Dar es salaam wahoji wananchi na waripoti changamoto hii Kisha wawahoji DAWASCO na waache kuripoti upande Mmoja Hali ya Maji ni mbaya sana hasa Kwa sisi Watanzania wenye kipato Cha chini

Media kuweni wabunifu mtoe habari critical na sio kutoa habari za udaku na uzinduzi mjaribu kufanya transformation angalia media za nje namna zinavyoripoti matukio mbalimbali nyie mpompo tu
Mkuu Dada Rukia, Rukie, nimeguswa!, pole sana kwa unayopitia, hoja yako ni ya msingi sana, na mimi naunga mkono hoja.
P
 
Hakuna chombo Cha habari kitakacho andaa makala hiyo maana wote wanacho weza Sasa ni kusifia kupata teuzi
 
Ni wazo zuri, ila najaribu kufikiria watu wa walioteseka na shida ya maji miaka yote kule Dodoma na Singida wao hawakua na malalamiko kama haya!

Au watu wa Dar ndo binadamu first grade hapa nchini?
 
Wanaweza kuandaa ila kabla haijaruka hewa ni aidha watapigwa bahasha au mkwara mkali.


Ila watanzania walivyo na usahaulifu walishahama kujadili mambo ya msingi wahemamia kushabikia geresha ya "alfu 3"
 
Habari za Leo wapendwa

Binafsi nina familia na ninaona namna familia yangu jinsi inavyopitia kipindi kigum kutokana na hii changamoto ya Maji.

Mimi nilikuwa nashauri Media zote nchini waandae Makala kuhusu upatikanaji wa Maji wazunguke mitaa yote jiji la Dar es salaam wahoji wananchi na waripoti changamoto hii Kisha wawahoji DAWASCO na waache kuripoti upande Mmoja Hali ya Maji ni mbaya sana hasa Kwa sisi Watanzania wenye kipato Cha chini

Media kuweni wabunifu mtoe habari critical na sio kutoa habari za udaku na uzinduzi mjaribu kufanya transformation angalia media za nje namna zinavyoripoti matukio mbalimbali nyie mpompo tu
Mitano tena
 
Back
Top Bottom