Vyombo vya Habari vinavyokubali kutumika ni vema vikaitathmini video hii

Hii mbona kawaida kwa wanasiasa wote? Wakati ule hatuna ndege, wapinzani waliibeza serikali kwa kutokuwa na ndege (mchango wa Heche Bungeni) ndege zimenunuliwa Heche huyo huyo tena akapinga kwa nini tunanunua ndege.

Chadema 2015 walikuwa na ajenda ya kumwachia Babu Seya, Babu Seya akaachiwa na Magufuli wakageuka tena, kwa nini kaachiwa. Si ajabu hata wao wakishinda hata hiyo Katiba mpya isifanyiwe kazi kabisa.

Wanasiasa rangi zao sawa.
 
Video hii ni mpango wa Mungu mwenyewe kuitumia ili kuwafundishia waandishi na wamiliki wa vyombo vya habari wenye vichwa vigumu kuelewa , endeleeni kuwatenga wengine na kumfagilia mtu mmoja.
Hili sidhani kama lina akili tumamu!
 
Chadema 2015 walikuwa na ajenda ya kumwachia Babu Seya, Babu Seya akaachiwa na Magufuli wakageuka tena, kwa nini kaachiwa.
Ulimsikia CHADEMA gani analalamika kuachiwa kwa Babu Seya? Wacha ukuda wewe!
 
Heche alimshughulikia nani ?
 
Video hii ni mpango wa Mungu mwenyewe kuitumia ili kuwafundishia waandishi na wamiliki wa vyombo vya habari wenye vichwa vigumu kuelewa , endeleeni kuwatenga wengine na kumfagilia mtu mmoja
Thank you Hon. Tundu Antiphas Lissu for being the man...
The man who seemed to be,
The man who claimed to be and
The man who proved to be
Yes, you are the man who dared and lived to tell the tale!
Your browser is not able to display this video.

Hon. Tundu Antiphas Lissu, one man in the midst of millions...
The man who questioned,
The man who challenged and
The man who refused to stay quiet
Yes, the man who took action and nearly paid with his life but kept on!
 
In beberus language!!
 
In beberus language!!
I happen to know how stupid you must be, nevertheless can you answer this one simple question? Do you know the two official languages in use in the United Republic of Tanzania?
 
Msaliti wa nchi yetu hapati kitu tunawasubiri barabarani si amesema akishindwa atawaingiza barabarani ili mgongwe na bodaboda?

Amesema akishinda halafu wagome kumtangaza kufuatia amri ya bwana mkubwa aliyesema atamshangaa mkurugenzi anayelipwa mshahara na kupewa gari na yeye amtangaze mpinzani kuwa ameshinda ndo Lissu amesema ikitokea hivo anaingiza watu barabarani. Na wote tunakumbukumbu kuwa Mkuu alitoa hayo maagizo TBC
 
Hiyo kauli hata kama unashabikia unatakiwa kujiuliza mara mbili kama huo ndiyo uongozi wa nchi na katiba ipo inayotoa uhuru aliokuwa anaunadi kwenye kampeni kiukweli muda utaongea.
Asante sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…