Vyombo vya Habari vinavyokubali kutumika ni vema vikaitathmini video hii

Vyombo vya Habari vinavyokubali kutumika ni vema vikaitathmini video hii

Hakuna Uhuru usio na mipaka vile vile
Hakuna mipaka isiyo na Uhuru.
Awamu hii wale wasiomfurahisha JPM kwa kumuabudu na kumsifu ndio wanapitishwa kwenye tanuru la moto!Mfano musiba na vyombo vyake,angekuwa kashashughulikiwa mapema lakini kwakuwa ni mlamba viatu na anowadhalilisha na kuwakashifu ni waoinzani wa serikali ya Jiwe,basi anapeta tu!
Hizi kauli za hakuna uhuru usio na mipaka ni kauli za kutengeneza pango la kujificha kuhalalisha uovu!

Sasa hapo eti kilichomuuma ni magazeti kuweka front page tukio la Nape kutolewa bastola!!!!😁😁😁😁
 
Video hii ni mpango wa Mungu mwenyewe kuitumia ili kuwafundishia waandishi na wamiliki wa vyombo vya habari wenye vichwa vigumu kuelewa, endeleeni kuwatenga wengine na kumfagilia mtu mmoja.

Kweli huyu Magu ni ndumilakuwili....,.

Inategemea siku hiyo kaamkaje..........

Akiamka vibaya siku hiyo ndiyo hivyo tena, kila mtu analia na kusaga meno!
 
Aisee..

Watu mnajua kufukunyua, siyo mchezo.

Na Jiwe sijui atajitetea kwa mangapi. Maana akigeuka kushoto anakula mkwaju, akijaribu kugeuka kulia anakula mpini, na akigeuka nyuma anakula nyundo na mbele anakutana na moto wa gesi!

Mwaka huu ni lazima na ni zamu kuisoma Namba na kuuona upande mwingine wa shilingi.
Ataishia kusema Stigla,Ndege,Fraiovaa zaidi ya hapo hakuna
 
Back
Top Bottom