Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwandishi atekwe kabisa apewe uhujumu uchumi na utakasishaji ili aozee jela akisubiri ushahidiPia hilo gazeti lazima lifungiwe kabisa
Mmmh! Sijui. Labda babaako!?Hivi kuna mjinga kukuzidi wewe?
Yupo kwenye ajira, akiongea matapu tapu ndio analipwaHivi kuna mjinga kukuzidi wewe?
Yupo kwenye ajira, akiongea matapu tapu ndio analipwa
Hoja zimeisha mataga unaanza matusi?Mmmh! Sijui. Labda babaako!?
Ubaya wa mtu sio rangi yake ni tabia yake,kugeneralize huo ni ubaguziSiku zote wazungu huwa hawaitakii mema Afrika na Waafrika, wanatamani kila baya litupate Waafrika.Mke wa Bill Gates,Melinda Gates alitoa kali ya mwaka mwezi Aprili mwaka huu aliposema baada ya wiki mbili mitaa ya Afrika itajaa maiti za watu kutokana na Covid-19, hii kauli ilikuwa na lengo la kututia hofu Waafrika ili mambo yasiende.Baada ya hizo wiki mbili mambo yalikuwa shwari tu,kiufupi ulikuwa uzushi tu lengo ni kuleta taharuki kwa Waafrka.Huwa nashangaa sana ninapoona Waafrika wenzetu wanaposhabikia mambo ya hawa manyang'au wazungu hawa watu hawafai hata kidogo.Kuna mzungu mmoja huko Libya aliwaambukiza watoto wasiokuwa na hatia wapatao 200+ virusi vya HIV,iliniuma sana.Huu ugonjwa wa corona uendelee kuwamaliza hao wazungu labda watatuheshimu na kututhamini Waafrika.
Mmmh! Sijui. Labda babaako!?
Angalia swali nililoulizwa. Ulitaka nijibuje?Hoja zimeisha mataga unaanza matusi?
Tafadhali acha matudi tunataka nondo zako toka lumumba! Bwa hahaha
Hoja zimeisha mataga unaanza matusi?
Tafadhali acha matudi tunataka nondo zako toka lumumba! Bwa hahaha
Lakini si uliniuliza swali? Au hukutaka jibu? Limekuwa jibu sahihi kweri kweri mpaka umechanganyikiwa? Ahahahahahah!Hapo sasa!
Ukiambiwa akili zako umeziwekea poni kwa chakubanga unarusha ngumi hewani
Wewe ni mdada au mkaka?Angalia swali nililoulizwa. Ulitaka nijibuje?
Wanabodi,
Wanabodi, kila nipatapo fursa huwa ninawaletea makala ndefu za Kwa Maslahi ya Taifa, hivyo leo nimepata fursa tena naendelea na zile makala zangu za kuhamasisha uzalendo kwa jina la "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo zinaendeshwa kwa mfumo wa maswali, leo nazungumzia media za kimataifa zinafaidika nini kwa kuzusha uongo kuihusu Tanzania?, na hawa sources wao ambao ni Watanzania wenzetu, wanafaidika na nini kwa kuwa feed info za uongo, uzushi au kubuni?, what do they stand to gain?. Kuzusha uongo dhidi ya taifa lako na viongozi wake kwenye media za mabeberu ni uzalendo?!.
Ni muda mrefu baadhi ya vyombo vya habari vya kimataifa zikiwemo TV, Majarida na Online contents zao kutunga maurongo kuihusu Tanzania kumkashifu au kukashifu hatua mbalimbali zinazochukuliwa na rais Magufuli, katika maendeleo ya Taifa letu Tanzania, wao watabeza, watakashifu na sometimes hata kumtukana rais wetu, swali la kujiuliza ni vyombo hivi, vinapata faida gani kwa kututungia uongo au kutuzushia na kumzushia rais wetu Magufuli tuhuma za uongo?. What do they get or what do they wish to achieve?.
Katika janga hili la Corona, rais wetu Magufuli anasifiwa duniani kote kwa hatua alizochukua kupambana na Corona, ikiwemo kugomea lockdown, sasa hebu soma makala hii ya gazeti la The Guardian la Uingereza, jinsi ilivyo shehenezwa mauongo na mauzushi kuihusu Tanzania na rais wetu Magufuli!.
Tanzanian president accused of covering up Covid-19 outbreak
Wakati serikali yetu imetoa idadi ya vifo ni 16, na walioambukizwa ni watu 489, hawa jamaa kupitia source wao, wanadai eti Tanzania inaficha idadi ya vifo na maambukizi ya Corona, watu waliokufa kwa ugonjwa wa Corona kwa Dar es Salaam tuu pekee ni zaidi ya watu 400!, huku watu zaidi ya 20,000 wameambukizwa nchi nzima!.
Uongo kama huu una malengo gani?, wanapata faida gani kwa kuzusha uongo mkubwa kama huu?.
Kwa faida ya wale wavivu kufuata links, nakuwekea makala yote, nikiainisha nini ni kweli, nini ni uongo na nini ni uzushi,
Coronavirus outbreak
Tanzanian president accused of covering up Covid-19 outbreak
John Magufuli has repeatedly played down the threat from the pandemic
Jason Burke Africa correspondent
Wed 27 May 2020 17.43 BSTLast modified on Wed 27 May 2020 19.45 BST
My Take
Hawa jamaa wanapata nini kwa kutuzushia uongo?. What do they stand to gain?. Na nyinyi Watanzania wenzetu mmafaidika na nini kwa kuwa vibaraka wa mabeberu na kutunga uongo kuhusu nchi yenu?!.
Uzalendo wenu uko wapi?.
Nawatakia Alhamisi Njema
Paskali.
Wewe ungelipenda niweje? Mkaka au Mdada?Wewe ni mdada au mkaka?
Mataga jibu swali,utafeli mtihaniWewe ungelipenda niweje? Mkaka au Mdada?
Huwa nashangaa iq za wadau wa jf. Nimekuelewa vizuri mkuuWanabodi,
Wanabodi, kila nipatapo fursa huwa ninawaletea makala ndefu za Kwa Maslahi ya Taifa, hivyo leo nimepata fursa tena naendelea na zile makala zangu za kuhamasisha uzalendo kwa jina la "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo zinaendeshwa kwa mfumo wa maswali, leo nazungumzia media za kimataifa zinafaidika nini kwa kuzusha uongo kuihusu Tanzania?, na hawa sources wao ambao ni Watanzania wenzetu, wanafaidika na nini kwa kuwa feed info za uongo, uzushi au kubuni?, what do they stand to gain?. Kuzusha uongo dhidi ya taifa lako na viongozi wake kwenye media za mabeberu ni uzalendo?!.
Ni muda mrefu baadhi ya vyombo vya habari vya kimataifa zikiwemo TV, Majarida na Online contents zao kutunga maurongo kuihusu Tanzania kumkashifu au kukashifu hatua mbalimbali zinazochukuliwa na rais Magufuli, katika maendeleo ya Taifa letu Tanzania, wao watabeza, watakashifu na sometimes hata kumtukana rais wetu, swali la kujiuliza ni vyombo hivi, vinapata faida gani kwa kututungia uongo au kutuzushia na kumzushia rais wetu Magufuli tuhuma za uongo?. What do they get or what do they wish to achieve?.
Katika janga hili la Corona, rais wetu Magufuli anasifiwa duniani kote kwa hatua alizochukua kupambana na Corona, ikiwemo kugomea lockdown, sasa hebu soma makala hii ya gazeti la The Guardian la Uingereza, jinsi ilivyo shehenezwa mauongo na mauzushi kuihusu Tanzania na rais wetu Magufuli!.
Tanzanian president accused of covering up Covid-19 outbreak
Wakati serikali yetu imetoa idadi ya vifo ni 16, na walioambukizwa ni watu 489, hawa jamaa kupitia source wao, wanadai eti Tanzania inaficha idadi ya vifo na maambukizi ya Corona, watu waliokufa kwa ugonjwa wa Corona kwa Dar es Salaam tuu pekee ni zaidi ya watu 400!, huku watu zaidi ya 20,000 wameambukizwa nchi nzima!.
Uongo kama huu una malengo gani?, wanapata faida gani kwa kuzusha uongo mkubwa kama huu?.
Kwa faida ya wale wavivu kufuata links, nakuwekea makala yote, nikiainisha nini ni kweli, nini ni uongo na nini ni uzushi,
Coronavirus outbreak
Tanzanian president accused of covering up Covid-19 outbreak
John Magufuli has repeatedly played down the threat from the pandemic
Jason Burke Africa correspondent
Wed 27 May 2020 17.43 BSTLast modified on Wed 27 May 2020 19.45 BST
My Take
Hawa jamaa wanapata nini kwa kutuzushia uongo?. What do they stand to gain?. Na nyinyi Watanzania wenzetu mmafaidika na nini kwa kuwa vibaraka wa mabeberu na kutunga uongo kuhusu nchi yenu?!.
Uzalendo wenu uko wapi?.
Nawatakia Alhamisi Njema
Paskali.
Awamu ipi hiyo mbona bado tupo sana tu na tutaendelea, wewe hama nchi ili usichanganyikiwe zaidiawamu yenu ikipita itabidi tuwajengee masanamu.
Worst term ever, mnajaribu kupambana n hao mnaowakopa daily.
Ni kama kutukana wakunga.
Nchi zinazoendekea kiuhalisia kuna mikomo kwenye baadhi ya vitu, hasa kwenye afya za watu, anachokifanya meko ni kucheza na afya ya wananchi wake