Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
HAPANA mkuu ila naona kama raia nao wanazingua..hutaki kuziongelea unazo nini
na ndiyo maana nikaleta hapa hii kama ina ukweli basi wataalamu kama nyinyi mtathibitisha shukurani sana mkuuHamna kitu kama iko
ccm inapenda wajingamambo ya ccm yamefata nini apa soma vizuri kisha leta hoja yako kama hujui kaa kimya
shukurani mkuuuccm inapenda wajinga
Haiwezi kuleta alets kama haijakuwa feeded na binadamu kwenye eneo husika. Ni lazima ujue kuwa hapa Pana traffic camera halafu unaingiza kwenye app. Jiulize kwanini traffic huwa wanahamahama sana. Wenye mabasi ndiyo wanajua location ya camera ilipo sababu Wana informers on the ground.Hio app inaku alert sehemu zenye speed limit fulani ukizidi inakutaarifu. Haizuii tochi wala nini.
Una kiwango gani Cha elimu. Speed camera zipo miaka zaidi ya 20 Sasa wewe Bado hujui lolote mpaka 2024. Aibu kubwa sanasoma vizuri kisha uje kuadika utumbo wako huo
safi sana mkuu umeifafanua vizuri mkuuHaiwezi kuleta alets kama haijakuwa feeded na binadamu kwenye eneo husika. Ni lazima ujue kuwa hapa Pana traffic camera halafu unaingiza kwenye app. Jiulize kwanini traffic huwa wanahamahama sana. Wenye mabasi ndiyo wanajua location ya camera ilipo sababu Wana informers on the ground.
Mkuu wazee wa GPS huko duniani wamesha feed data zote. Nilikuwa na hio app nimeitoa. Hadi darajani Kigamboni inajua kuna 30kph zone inakutaarifu. Yenywe inajua speed limit maeneo yote kama umezidi limit inakupa alert kuwe na tochi au la.Haiwezi kuleta alets kama haijakuwa feeded na binadamu kwenye eneo husika. Ni lazima ujue kuwa hapa Pana traffic camera halafu unaingiza kwenye app. Jiulize kwanini traffic huwa wanahamahama sana. Wenye mabasi ndiyo wanajua location ya camera ilipo sababu Wana informers on the ground.
kuna watu hawajui chchte kama rais ni samia sembuse mimi hilo ni suala la kufatilia tu na siyo suala la elimu acha ulimbukeni na ujuajiUna kiwango gani Cha elimu. Speed camera zipo miaka zaidi ya 20 Sasa wewe Bado hujui lolote mpaka 2024. Aibu kubwa sana
Waze application..hiyo anayosema jamaa hakuna walitaka kumuibia tu yeye mwenyewe angekua anajua madini yanayotumika kwenye tochi sidhani kama angeweza kuandika alichoandika...Ni Hatari. Mimi niliwahi Kusikia Ipo Application ambayo inakuonesha Wapi Kuna Tochi, Labda itakua wameiboresha sasa.
Naandika kama mzalendo na mwenye upendo wa dhati na taifa langu Tanzania.
kuna mazunumzo niliyasikia yanayohusu Teknolojia kutoka kwa watu nisiowafahamu maana nilikutana nao stendi ya basi wote tukiwa kama wasafiri tu wao walikua wawili walikua wakipiga story za hapa na pale kutokana na mazungumzo yao inaonekana wao ni madereva na wanamiliki vyombo vya usafiri
''kiongozi sahivi kuna app (software) inayozuia tochi za traffic yaani hiyo mkuu ukiiwepo nayo kwenye usafiri wako ukiwasha ndinga traffic wakipiga hawawezi kujua kama ulitembea mwndo kasi"
"nitakuunganisha na jamaa anaeiuza hii lakini anafanya siri kweli kweli yaani hii inatusaidia sana madereva tuanopenda kukimbia Road"'
mwisho wa kunukuu na hayo ndiyo yalikua mazungumzo yao maana mimi nilitoka stendi na kudandia gari na kuondoka lakini lilinifikirisha sana hili suala
na kuibuka maswali mengi kichwani mwangu
je jeshi la usalama barabarani wanalijua hili?? na kama hawalijui basi Mzalendo nimefikisha habari hii ifanyiwe uchunguzi wa kina ili kuzuia ajali barabarani
Nawasilisha taarifa
Hiyo ni speed limit sababu Kuna vibao vya speed limit njiani. Hiyo imekuwa feeded na Google ambao walikuja na kutembea physical kuingiza datas. Hakuna sehemu ambayo hakuna kibao Cha speed limit ikaleta alert kuwa hapa na speed cameraMkuu wazee wa GPS huko duniani wamesha feed data zote. Nilikuwa na hio app nimeitoa. Hadi darajani Kigamboni inajua kuna 30kph zone inakutaarifu. Yenywe inajua speed limit maeneo yote kama umezidi limit inakupa alert kuwe na tochi au la.
Mkuu ni Satellite ndio inatumia na pia zipo za 3D download Waze Application inakuambia polisi wapo mbele hata kabla haujaanza safari kama pana shimo inaongea ipo kitambo na ndio watu wengi huku wanaitumia kwa bara bara ngeni kama anaitafuta boarder sielewi hapo unakataa nini?Haiwezi kuleta alets kama haijakuwa feeded na binadamu kwenye eneo husika. Ni lazima ujue kuwa hapa Pana traffic camera halafu unaingiza kwenye app. Jiulize kwanini traffic huwa wanahamahama sana. Wenye mabasi ndiyo wanajua location ya camera ilipo sababu Wana informers on the ground.
Ndio nilichosema mimi. Hio app inaku alert sehemu zenye speed limit na ndio wazee wa tochi wanakaa. Sio kwamba zinajua kuna tochi. Mfano sehemu ya 50kph ukipita na 80kph inakushtua na ndio wazee wa tochi wanapotega.Hiyo ni speed limit sababu Kuna vibao vya speed limit njiani. Hiyo imekuwa feeded na Google ambao walikuja na kutembea physical kuingiza datas. Hakuna sehemu ambayo hakuna kibao Cha speed limit ikaleta alert kuwa hapa na speed camera
Umekubali mwenyewe hujui kitu. Sasa ndiyo ufuatilie ujifunze Ili uongeze elimu ikusaidie usije kutapeliwa kizembe. Aibu kubwakuna watu hawajui chchte kama rais ni samia sembuse mimi hilo ni suala la kufatilia tu na siyo suala la elimu acha ulimbukeni na ujuaji
Usibishane na RRondo goggle Watembee wapi mkuu wanatumia satellite inawapa taarifa za chini yaani ipo application inakupa mtaa mfano Kerk Street ukizoom inaonyesha hadi idadi ya gari zilizopaki muda huu pale kwa hiyo goggle wanatembea kuhesabu magari aisee mambo ni moto moto...Hiyo ni speed limit sababu Kuna vibao vya speed limit njiani. Hiyo imekuwa feeded na Google ambao walikuja na kutembea physical kuingiza datas. Hakuna sehemu ambayo hakuna kibao Cha speed limit ikaleta alert kuwa hapa na speed camera
jaribu kunitapeli basi kama unaona ni rahisi kama uanavyojitoa akiliUmekubali mwenyewe hujui kitu. Sasa ndiyo ufuatilie ujifunze Ili uongeze elimu ikusaidie usije kutapeliwa kizembe. Aibu kubwa
Kurahisisha weka Jina la hiyo app halafu tuone jinsi inavyo Fanya kazi. Weka ushahidiMkuu ni Satellite ndio inatumia na pia zipo za 3D download Waze Application inakuambia polisi wapo mbele hata kabla haujaanza safari kama pana shimo inaongea ipo kitambo na ndio watu wengi huku wanaitumia kwa bara bara ngeni kama anaitafuta boarder sielewi hapo unakataa nini?
Kwani mimi ndiyo niliyekuwa naongea kuhusu app ya speed limit. Na Bado utapigwa kizembe Kwa ujuaji wa kuamini kila unachosikiajaribu kunitapeli basi kama unaona ni rahisi kama uanavyojitoa akili