Vyombo vya ulinzi na usalama barabarani , lichunguzeni haraka sana suala hili na kama ni kweli basi mfanye ufumbuzi ili kunusuru Maisha ya Watanzania

Vyombo vya ulinzi na usalama barabarani , lichunguzeni haraka sana suala hili na kama ni kweli basi mfanye ufumbuzi ili kunusuru Maisha ya Watanzania

Mleta mada una kiwango gani Cha elimu. Kichwa chako huwa hakiwezi kuwa na fikira Pana. Kwani unakujua traffic camera inatumika nini mpaka uweze kuihack. Hovyo kabisa. Siyo Kila unachokisikia basi ni Cha kweli
Kumbe kusikia na ku report issue inahitaji kiwango cha elimu? Basi elimu tunaionea sana, ulie uliza swali hili ni mjinga sana
 
Bro vitu vya kawaida tu, kwa hapa bongo, tuna watu serikalini vichwa vyao ni vizito kama simu za tecno, wakikutqna na kitu wasichoelewa, wao, ni kupinga tu, sio kujifunza, ndio, maaana wanamchukia Sana Lisu, maana huwa anawabomoa vzr Sana
UMENIFUNGUA UBONGO MKUU
 
Mtoa mada ulikuwa unapigwa vizuri bahati yako 🤣🤣
Sasa hapo mkuu wangenipigaje kama mkweche wangu tayali nilishaupaki kwa sababu ya mafuta kupanda now Nipo Honda yangu
 
Back
Top Bottom