DOKEZO Vyombo vya ulinzi na Usalama taarifa hii naomba muichukulie kwa uzito mkubwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wanyarwanda RPF wanaamini watanzania ni wapumbavu na hawana uwezo wa kijeshi kupambana nao .Na wana mpango wa kuchukua maeneo ya Karagwe na Ngara kwa nguvu,,sema tu uwepo wa JWTZ hasa wale makomandoo wa mipakani unawatatiza na wanajua 1994 bila usaidizi wa JWTZ special forces wasingeweza kuwashinda RDF.Na RPF wanaamini kua Waha na Wahangaza na Wanyambo ni sehemu ya wanyarandwa.

Vicent Karega namjua na ndio anataka kumrithi Kagame afu siku awapime watanzania kijeshi na yamkute yale yaliyomkuta Iddi Amini.

EVERYBODY KNOWS KAREGA ALICHOKIFANYA KWA WAKIMBIZI WA KIHUTU NCHINI RWANDA NA ZAIRE 1994 UP TO 1999
 
Rwanda ipo siku tutaitawala EA yote na hakuna atakayekohoa.
Thubutu...
Mjomba mwenyewe mara kibao tu amekataa kuizungumzia Tanzania
Sababu anajua outcome ya ukabila kwenye siasa za kinyarwanda.
Bahima (Makabila ya Mtemi Kintu) wenyewe hatupendani,,sasa tutaitawala vipi afrika mashariki yenye makabila 3000 na nchi pekee zenye ukabila ni Rwanda na Burundi na DRC na South Sudan.
 
Haha jidanganye labda Paul Kagame nife kesho
 
Tukiacha jokes za jf,ila pk kajipenyeza seemu zote nyeti,ule mpango wa bahima empire kuitawala Kanda yote ipo siku itatimia

Bila wazee kumaliza mission flan huenda Leo mpango ungeshakamilika
Hakuna kitu mkuu.

Tuulize sisi tunaojua kabila la kinyarwanda.

Wanyarwanda wanashindwa kuelewa kitu kimoja, watanzania tuna msingi yetu japo kuna makabila 400 hivi na hatuna ukabila wala udini linapokuja suala la kitaifa.

Bahima ni makabila yote yanayotokana na ukoo wa Kintu.

Koo pekee za kitusi na kihutu zinazozungumza kinyarwanda ndio zenye roho mbaya ya ubaguzi
 
Bora tu huyo Kalega aje kutukomboa kutoka makuchani mwa mkoloni mweusi (CCM). Nchi ikiwa na amani sisi tunanufaikaje wakati mifisadi tu ndiyo inafaidi rasilimali za nchi hii
Mkuu bila CCM hakuna Tanzania.
Na CCM sio watu ni taasisi
 
Umefanya vizuri kutoa la moyoni. Ila ukweli ni kwamba kwa kazi za wana usalama, hilo ni jambo dogo. Kwamba fulani kasema? Ana haki ya kuongea anachokitaka. Kwani ni wapi kadai waha warudi Rwanda? Unadhani Rwanda hakuna waha? Watu weusi walifikaje Marekani? Au wazungu walifikaje South Africa?

Kwa umri wako, ni utoto unaokusumbua. Hata kila mhamiaji aliyepo nchini unadhani hajulikani? Siku ajitose kuleta vurugu, ndo utajua hivyo vyombo vinafanya kazi.

Ushabiki wa kinafiki hauna maana. Kwani akidai waha ni wa Rwanda, akaomba hao waha warudi kwao, unapungukiwa nini? Hao waha, leo hii ukiwambia rudini kwenu, wataenda?

Hata yeye ni binadamu, kuongea tofauti na uhalisia ni jambo la kawaida. Kama lina uzito, ulisikia serikali inatoa jibu lake kuhusu hilo? Acha utoto.
 
Mkuu hujamuelewa mtoa mada
 

Wabongo tunapenda Sana kujifariji laiti tungejua,hao miamb wanawatu wao Hadi wa kufoji vyeti na kuingizwa jeshini rasmi

Siibez nchi yangu,ila hakuna muda wa kua makini hivi sasa na baadae
 
Wabongo tunapenda Sana kujifariji laiti tungejua,hao miamb wanawatu wao Hadi wa kufoji vyeti na kuingizwa jeshini rasmi

Siibez nchi yangu,ila hakuna muda wa kua makini hivi sasa na baadae
Kua na majasusi ni kitu kimoja.
Na kua royal ni kitu kingine.
You cant buy royalty
 
ndio wanasemaga tusome vitabu vingi. Alafu tuwaze nini, kuna kuwaza upuuzi usio na mbele wala nyuma😂😂😂😂.
Simsemi mtoa mada, wala sisemi amekosea.
Ila live huu ni upuuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…