DOKEZO Vyombo vya ulinzi na Usalama taarifa hii naomba muichukulie kwa uzito mkubwa

DOKEZO Vyombo vya ulinzi na Usalama taarifa hii naomba muichukulie kwa uzito mkubwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wewe ni mwandishi wa habari? Kabisaaaa? Kama wa FDRL sawa. Si kwamba nakupinga au nakutukana,hapana. Na si kwamba nalazimisha uandike navyotaka mimi,la hasha. Ila kama kweli umedhamilia kusimamia taaluma yako,naomba wakati unaandaa makala,usiegemee upande wowote. Kama kweli we ni mwandishi professional,jiulize mada yako wanasoma wangapi,wanakuelewaje,upindishapo ukweli unaelewekaje! Mi si mwanasiasa wala sipendi hayo mambo,lakini, mambo mengine usikulupuke,fanya utafiti wa kina,na wa kina zaidi.

Ntapenda nikuulize kitu. Kuhusu M23. Unafurahia watu wanavyochinjwa? Kwa nini wachinjwe? Wenyeji hawajali,majirani hawajali, lile genge linalojiita UN halijali, lakini ukiangalia taarifa zinazoandikwa,kana kwamba kuna kundi linalofagilia unyama unaoendelea,na lingine linakemea.
M23 ni wahuni tu wa kitusi na JWTZ (TPDF) iliwekomesha kwa muda mfupi tu, sema tu, haikupewa muda wa kutosha kule Kivu Kaskazini kama UN troops.
 
Hicho ki mkoa kimoja ndo kitunyime usingizi...!!? 🤠🤠🚮🚮🚮

Aje huyo Vincent aendeleze alipoishia pk kama hajalia kihutu
 
Soma makala yangu kuhusu uhasama wa FDRL na RPF.
Ni mahojiano binafsi na wahusika wa pande zote mbili
Ntaitafuta nione. Ila mfano hai, leo ukiwauliza Israel na Palestina kwamba mchokozi ni nani, utapata jibu gani? Je,hilo jibu litakuwa sahihi kwa watakaosoma mada yako? Uliweza kuongea na walioachana na FDRL? Uliweza kuongea na waliosaliti RPF? Uliweza kuongea na raia wa kawaida na kupata maoni yao kuhusu hao?

Halafu mimi nitakukosoa kitu kimoja. Unaposema uhasama wa FDRL na RPF, unakosea sana.

FDRL na RPF wana uhusiano gani? Na wana utofauti gani?
 
M23 ni wahuni tu wa kitusi na JWTZ (TPDF) iliwekomesha kwa muda mfupi tu, sema tu, haikupewa muda wa kutosha kule Kivu Kaskazini kama UN troops.
M23 ni wahuni? Kweli? Haya mkuu. Nimeona we ni nani na ni nini. Unafaa katika jamii inayopindisha maneno na uongo, chuki na maovu. Sitaki nionekane nimekutukana. Lakini unakosea sana. Kukosea kwako si kutoamini unachokiamini, bali ni kuaminisha watu unachokiamini wewe. Wameze? M23 ni wahuni? Wa kitusi? Duh! haya.
 
Ntaitafuta nione. Ila mfano hai,leo ukiwauliza Israel na Palestina kwamba mchokozi ni nani,utapata jibu gani? Je,hilo jibu litakuwa sahihi kwa watakaosoma mada yako? Uliweza kuongea na walioachana na FDRL? Uliweza kuongea na waliosaliti RPF? Uliweza kuongea na raia wa kawaida na kupata maoni yao kuhusu hao?
Af,mi ntakukosoa kitu kimoja. Unaposema uhasama wa FDRL na RPF, unakosea sana.
FDRL na RPF wana uhusiano gani? Na wana utofauti gani?
Mkuu soma kwanza ndio ukosoe,sisi waandishi tunapenda kukosolewa.
Ukiambiwa mahojiano bas ujue pande zote zimehojiwa.
 
M23 ni wahuni? Kweli? Haya mkuu. Nimeona we ni nani na ni nini. Unafaa katika jamii inayopindisha maneno na uongo,chuki na maovu. Sitaki nionekane nimekutukana. Lakini unakosea sana. Kukosea kwako si kutoamini unachokiamini,bali ni kuaminisha watu unachokiamini wewe. Wameze? M23 ni wahuni? Wa kitusi? Duh!haya.
Wahuni tu wale na hawana ethic zozote za kiutawala au kisiasa bali wanatetea maslahi yao.
Mtu yoyote anaeua raia wasio na hatia ni muhuni haijalishi yupo wapi.

Ntaganda asingelazimishwa na RPF kukimbilia Kigali.

Bas na yeye ningefanya nae mahojiano kuhusu genge lake la M23 ambao ni wauza almasi na dhahabu za Congo DRC.

Eastern Kivu kuna makundi ya kihuni zaidi ya 16 ya wacongomani na wahutu na watusi na yote yanaua raia wasio na hatia
 
Mbona hilo jambo dogo na ni kawaida, kila mtu ana uhuru wakuongea anacho hisi kwamba ni kweli hilo halina uhusiano na vyombo vya ulinzi vya nchi.
Acha kujitoa akili.
Hii ni serious matter
 
Mkuu soma kwanza ndio ukosoe,sisi waandishi tunapenda kukosolewa.
Ukiambiwa mahojiano bas ujue pande zote zimehojiwa.
Kidogo unaonekana mstaarabu, ukiondoa neno kundi la wahuni. Kama upo radhi kukosolewa, wewe ni mzuri. Ila sasa, sitakukosoa mimi, kwenye mahojiano hayo hutopata uhalisia. Baada ya mahojiano hayo, hoji na pande zote nilizokuandikia, kisha ubalance. Muandishi wa habari, ulitakiwa ueleze jamii ulichoambiwa, siyo wewe utoe hitimisho. Hapana.

Na kama kweli una nia njema ya kutoa taarifa ya kuelimisha jamii, kwenye suala la M23, andika hata ukurasa 100. Hoji watu tofauti, wa ndani na wa nje, wa mbali na wa karibu. Kisha ulete mrejesho. Vinginevyo, utaeneza chuki. Kitu ambacho si kweli.
 
Wahuni tu wale na hawana ethic zozote za kiutawala au kisiasa bali wanatetea maslahi yao.
Mtu yoyote anaeua raia wasio na hatia ni muhuni haijalishi yupo wapi.
Ntaganda asingelazimishwa na RPF kukimbilia Kigali.
Bas na yeye ningefanya nae mahojiano kuhusu genge lake la M23 ambao ni wauza almasi na dhahabu za Congo DRC.
Eastern Kivu kuna makundi ya kihuni zaidi ya 16 ya wacongomani na wahutu na watusi na yote yanaua raia wasio na hatia
Lakini FARDC na makundi yake? Hayaui raia? Kwa hiyo,wao ni wema,raia wanaouawa ndo wahuni? Shortly, watutsi wanaouawa mashariki mwa DRC ni wahuni?
 
Kidogo unaonekana mstaarabu, ukiondoa neno kundi la wahuni. Kama upo radhi kukosolewa, wewe ni mzuri. Ila sasa, sitakukosoa mimi, kwenye mahojiano hayo hutopata uhalisia. Baada ya mahojiano hayo, hoji na pande zote nilizokuandikia, kisha ubalance. Muandishi wa habari, ulitakiwa ueleze jamii ulichoambiwa, siyo wewe utoe hitimisho. Hapana.

Na kama kweli una nia njema ya kutoa taarifa ya kuelimisha jamii, kwenye suala la M23, andika hata ukurasa 100. Hoji watu tofauti, wa ndani na wa nje, wa mbali na wa karibu. Kisha ulete mrejesho. Vinginevyo, utaeneza chuki. Kitu ambacho si kweli.
Mkuu nilishamaliza kuandika hizo makala miaka kadhaa nyuma.
Humu JF naweka vipande vipande tu.

Mimi sitoi elimu bali naelezea nilichokipata kwenye mahojiano yangu
 
Lakini FARDC na makundi yake? Hayaui raia? Kwa hiyo,wao ni wema,raia wanaouawa ndo wahuni? Shortly, watutsi wanaouawa mashariki mwa DRC ni wahuni?
Mkuu hapo chini hujaona nimekutajia kua northern kivu kuna makundi ya kihuni zaidi ya 16 ya wahutu na watusi na wacongomani wanaua raia.
Au hujasoma vizuri nilichoandika?
 
Hicho ki mkoa kimoja ndo kitunyime usingizi...!!? 🤠🤠🚮🚮🚮

Aje huyo Vincent aendeleze alipoishia pk kama hajalia kihutu
Kimkoa kisikunyime usingizi. Damu za waisrael zinazowauma,hazina tofauti na za wanaouliwa DRC. Nchi ni watu si milima na miundombinu tu mkuu
 
Wewe ni mwandishi wa habari? Kabisaaaa? Kama wa FDRL sawa. Si kwamba nakupinga au nakutukana, hapana. Na si kwamba nalazimisha uandike navyotaka mimi, la hasha. Ila kama kweli umedhamilia kusimamia taaluma yako, naomba wakati unaandaa makala, usiegemee upande wowote. Kama kweli wewe ni mwandishi professional, jiulize mada yako wanasoma wangapi, wanakuelewaje, upindishapo ukweli unaelewekaje! Mimi si mwanasiasa wala sipendi hayo mambo, lakini, mambo mengine usikurupuke, fanya utafiti wa kina, na wa kina zaidi.

Ntapenda nikuulize kitu. Kuhusu M23. Unafurahia watu wanavyochinjwa? Kwa nini wachinjwe? Wenyeji hawajali, majirani hawajali, lile genge linalojiita UN halijali, lakini ukiangalia taarifa zinazoandikwa, kana kwamba kuna kundi linalofagilia unyama unaoendelea, na lingine linakemea.
Ndio maana nimemuuliza wewe unaishi Tanzania au rwanda.. na kwanini ayaandike haya akijua watanzania ni wasomaji nini hasa anakiitaji, aaminiwe? Tunamchora tu
 
Ndio maana nimemuuliza wewe unaishi Tanzania au rwanda.. na kwanini ayaandike haya akijua watanzania ni wasomaji nini hasa anakiitaji, aaminiwe? Tunamchora tu
Mkuu unanipangia cha kuandika JF au kutafuta habari au watu wa kufanya nao mahojiano duniani??
Bas nadhani pia utanipangia na kampuni ya kuwauzia habari iwe ndani ya afrika au nje ya afrika
Sisi waandishi huru tunaandika habari yoyote ile ya matukio iwafikie watu.
Mradi tu tusivunje sheria na miiko uandishi wa habari.
NB: Mada ilikua Vicent Karega na kwanini anaimezea mate aridhi ya jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Ndio maana nimemuuliza wewe unaishi Tanzania au rwanda.. na kwanini ayaandike haya akijua watanzania ni wasomaji nini hasa anakiitaji, aaminiwe? Tunamchora tu
Hii ni ishara tosha ya unyama wa badhi ya viumbe. Physically ni mtu,lakini emotionally ni mnyama. Amefanya mahojiano na FDRL na RPF? Then, M23 ni wahuni? Ina maana DRC sasa hivi wanauliwa wahuni?

1994 waliuliwa watu waliotaka wenyewe? Aise, upuuzi mwingine si wa kuleta humu. Si kila unachojisikia ni cha kuandika ovyo. Uhuru wa kutoa maoni,si wa kuwakwaza watu. Hasa wengine bado majeraha ya mioyo yao bado inavuja. Mtu kauliwa familia nzima leo unamuita mhuni?
 
Mkuu unanipangia cha kuandika JF au kutafuta habari au watu wa kufanya nao mahojiano duniani??
Bas nadhani pia utanipangia na kampuni ya kuwauzia habari iwe ndani ya afrika au nje ya afrika
Sisi waandishi huru tunaandika habari yoyote ile ya matukio iwafikie watu.
Mradi tu tusivunje sheria na miiko uandishi wa habari.
Aliyekufundisha uandishi huu alikosea. Ila,una kila sababu ya kuandika unavyotaka bwana. Si upo huru? Waliofiwa,waliouliwa,hao wahuni unaowasema wanaokufa na kufiwa,wanandamu kama yako. Leo kwao,kesho kwako. Kama si kwako huenda ikawa kwa ndugu yako. Tuone. Wewe unasherehekea vifo?
 
Hii ni ishara tosha ya unyama wa badhi ya viumbe. Physically ni mtu,lakini emotionally ni mnyama. Amefanya mahojiano na FDRL na RPF? Then, M23 ni wahuni? Ina maana DRC sasa hivi wanauliwa wahuni?

1994 waliuliwa watu waliotaka wenyewe? Aise, upuuzi mwingine si wa kuleta humu. Si kila unachojisikia ni cha kuandika ovyo. Uhuru wa kutoa maoni,si wa kuwakwaza watu. Hasa wengine bado majeraha ya mioyo yao bado inavuja. Mtu kauliwa familia nzima leo unamuita mhuni?
Mkuu kwa ufahamu wako genocide kwa wanyarwanda imeanza 1994?
Vipi kuhusu genocide za watusi 1952 na 1958 na 1973 na 1987 na 1992
Vipi kuhusu genocide za wahutu 1996 na 1997 na 1999 na 2002 na 2004
Sisi waandishi huru waga tunaleta habari huru.
Serikali ya Kaybanda ilikua genge la wahuni wauaji.
Serikali ya Juvenail ilikua genge la wahuni wauaji.
Serikali ya Kagame ni genge la wahuni wauaji.
Viongozi wa makundi yote ya RPF na FDLR na mengineyo zaidi ya 16 mashariki ya DRC likiwemo kundi la M-23 ni makundi ya wahuni wauaji wa raia.
Na wanajeshi wa UPDF wameshiriki mauaji ya halaiki Congo DRC na Rwanda 1990 na 1994 na 1996 na 1999 na 2002
Sasa waandishi huru wa habari tukileta hizi habari mnatuona hatufai.
Lazima ukweli usemwe.
NB : Mada ilikua Vicent Karega na matamshi yake.
 
Back
Top Bottom