DOKEZO Vyombo vya ulinzi na Usalama taarifa hii naomba muichukulie kwa uzito mkubwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mbona hilo jambo dogo na ni kawaida, kila mtu ana uhuru wakuongea anacho hisi kwamba ni kweli hilo halina uhusiano na vyombo vya ulinzi vya nchi.
Akili ndogo
 
Yawezekana. Mi nineona kama anawastua wenye jukumu la kulinda nchi kuhusu tamko la Vincent Karega,kwamba waha ni wa Rwanda. Nahisi alicholenga,ni kuhusu uwepo wa makabila hayo nchi mbili. Sijui labda mtoa mada hakumuelewa vibaya!
Kesho atasema wanyambo na wahangaza ni wanyarwanda
 
Ask presdent of Rwanda.
Why he organize genocide with those Hutu politicians and French and Belgians goverment in 1987.
He knows what he did.
Tanzanians dont buy cheap propagandas.
Sawa. Endeleeni kuweka wanawake madarakani kwenye nchi zenu we know better on how to deal with them.
 
Mbona hilo jambo dogo na ni kawaida, kila mtu ana uhuru wakuongea anacho hisi kwamba ni kweli hilo halina uhusiano na vyombo vya ulinzi vya nchi.
Amelikuza bure
 
Kesho atasema wanyambo na wahangaza ni wanyarwanda
Mimi nafikiri huu ni mda mzuri kwa wanaojua historia ya enzi za ukoloni kuelimisha watu. Maana leo hii huyu atasema hivi, kesho mwenzie atapinga. Na ukija kuangalia ndo kinachotokea huko mashariki mwa DRC. Japo kuhusu hilo unalolisema, inafahamika maeneo hayo yanayokaliwa na wanyambo na wahangaza, yalikuwa ya Rwanda. Ukweli, ndo hatujui uko wapi.
 
Rwanda ni wa kusikitikiwa na siyo wa kuogopwa. Unajua Rwanda ni mtu na siyo nchi? Maana kagame akiondoka basi na Rwanda unakuwa mwisho wake. Ukiona nchi iko hivyo ni dhaifu.
 
Dont mess with Tanzania's TPDF
Sababu ndio waliowaweka madarakani 1994
 
Dont mess with TPDF,S.
Those tanzanian,s are monster!!!!
Despite their silence in military propaganda,s
It's ok. That's not and will never be my business. Sit,relax,sleep. Military issues are beyond your thinking capacity. Leave it kwa wanaohusika. TPDF imekujaje? Kwa lengo lipi? Naomba hii topic niwithdraw ndugu yangu. Mambo mengine mi hapana.
 
Tumeisha sasa waha why ajue takwim zetu serikari tunaomba ufafanuzi zaid juu ya haya Maelezo juu apo kufanyiwa kazi juu ya karenga
 
It's ok. That's not and will never be my business. Sit,relax,sleep. Military issues are beyond your thinking capacity. Leave it kwa wanaohusika. TPDF imekujaje? Kwa lengo lipi? Naomba hii topic niwithdraw ndugu yangu. Mambo mengine mi hapana.
Yaah mkuu tuachie sisi military reporters.
Karega atawapoteza RMG na wing yao ya RPF kuhusu intentions zao za kuvamia maeneo ya Tanzania.
Withdraw mkuu ni good idea.
 
Kikubwa tu tambua, RPF ni tofauti kabisa na hiyo FDRL inayotawala kichwa chako. Eneza unavojua,faida unaijua wewe,kikubwa tu wahanga na walengwa wanaujua ukweli. Komaa sasa
Mkuu mimi ni mwandishi wa habari siegemei upande wowote.
Ila naleta habari ambazo hazikutolewa popote.
RPF na FDLR na uhasama wao...nimeandika makala kabisa kuwahusu
 
Mkuu mimi ni mwandishi wa habari siegemei upande wowote.
Ila naleta habari ambazo hazikutolewa popote.
RPF na FDLR na uhasama wao...nimeandika makala kabisa kuwahusu
Wewe ni mwandishi wa habari? Kabisaaaa? Kama wa FDRL sawa. Si kwamba nakupinga au nakutukana, hapana. Na si kwamba nalazimisha uandike navyotaka mimi, la hasha. Ila kama kweli umedhamilia kusimamia taaluma yako, naomba wakati unaandaa makala, usiegemee upande wowote. Kama kweli wewe ni mwandishi professional, jiulize mada yako wanasoma wangapi, wanakuelewaje, upindishapo ukweli unaelewekaje! Mimi si mwanasiasa wala sipendi hayo mambo, lakini, mambo mengine usikurupuke, fanya utafiti wa kina, na wa kina zaidi.

Ntapenda nikuulize kitu. Kuhusu M23. Unafurahia watu wanavyochinjwa? Kwa nini wachinjwe? Wenyeji hawajali, majirani hawajali, lile genge linalojiita UN halijali, lakini ukiangalia taarifa zinazoandikwa, kana kwamba kuna kundi linalofagilia unyama unaoendelea, na lingine linakemea.
 
Soma makala yangu kuhusu uhasama wa FDRL na RPF.
Ni mahojiano binafsi na wahusika wa pande zote mbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…