Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tapeli wa kuunga unga vijistori vya kwenye vijiwe vya kahawa na kutaka kuaminisha watu humu. Mataga mnahangaika sana, hii nchi sio mali ya GENGE la wahuni wachache tu hapo Lumumba. Zingatia hilo kwenye posts zako uchwara. CCM HOYE.Sasa kama umeshajua kuwa Mimi ni Tapeli na najifanya Mtu wa TISS kwanini tu 'usiniripoti' Kwao ili 'nikamatwe' kwa 'Utapeli' huu hapa Nchini?
Kumbe alikuwa na nguvu hapo kabla?Tundu Lisu hana nguvu tena
Ni YeYe.Sijui ni kwanini Siku zote Mbwa hupenda sana Kujipeleka kwa Nyoka aina ya Chatu ili akamezwe na Kuuwawa nae hata kama ukijitahidi Kumzuia.
Rubbish.Usidharaua ukongwe wangu.
Kuna mawili matatu ya kuokota.
Na kuna 'Utafiti' umefanyika unaosema kwamba 99.999% ya Watu 'Matapeli' pia ni 'very Brainiac / Einstein' hivyo kuniita 'Tapeli' nimefurahia sana.Tapeli wa kuunga unga vijistori vya kwenye vijiwe vya kahawa na kutaka kuaminisha watu humu. Mataga mnahangaika sana, hii nchi sio mali ya GENGE la wahuni wachache tu hapo Lumumba. Zingatia hilo kwenye posts zako uchwara. CCM HOYE.
SawaNa kuna 'Utafiti' umefanyika unaosema kwamba 99.999% ya Watu 'Matapeli' pia ni 'very Brainiac / Einstein' hivyo kuniita 'Tapeli' nimefurahia sana.
Upo? Kulitokea nini na nini kinaendelea kwa sasa juu ya huyu Messiah?Yaani amekuja wakati mbaya sana. Namuhurumia sana TL
Naona kwenye barua yao hata jina hawataki kumtaja ila nawaomba CDM tu watumie busara akapokelewe na familia yake aende zake kwake tukutane kwenye kampeni
Na kama akikamatwa taarifa zitajulikana tu ila sio waende wakajazane pale halafu Polis watapata upenyo wa kufanya watakvyo