Vyuma vya dunia kumshuhudia Mnyama akitumbuiza

Vyuma vya dunia kumshuhudia Mnyama akitumbuiza

Utopolo wanatamn wangekuwa ni wao,,bahati mbaya hamna hata mtu anawapa airtime,,gem yao na azam imemezwa na gem ya kibabe,ndo mmenyimwa uwanja wamepewa tp mazembe🤣🤣🤣🤣
 
Utopolo wanatamn wangekuwa ni wao,,bahati mbaya hamna hata mtu anawapa airtime,,gem yao na azam imemezwa na gem ya kibabe,ndo mmenyimwa uwanja wamepewa tp mazembe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mmeleta mpka Rais wa FIFA lakini bado mnatutaja
 
Ao woote kuhudhuria kwao hakumfanyi Kibu kuwa Aziz k , Saido kuwa Pacome au Ayubu kuwa Diara.

Jipangeni mkacheze mpira, ao wageni uwepo wao hauna Tija yoyote kwa klabu ya Simba na wala hawaijui.
Ata aya mashindano yange fanyika Rwanda au Burundi wageni wangekuwepo.

Mkifanya uzembe mta tandikwa apo kwa mkapa kama walivyowafanya Raja Casablanca.
Hawa ndio Yanga sasa na hizi ndio level ya mwisho ya akili zao.

Swali ni je.

Hao wachezaji wako uliowataja ni tofauti na wale tuliocheza nao fainali ya community shield kule Tanga?

If not then, What did they offer? Walikupa kombe?

Je hao wachezaji wako uliowataja na kujigamba nao ni tofauti na wale waliocheza na Ihefu pale Mbalali?

Did they win that match against amateur club?

So why are you praising them?
 
Tuombe makolo wasije kung'oa viti Baada ya goal la 5 kukandwa,[emoji23]
Hujaambiwa kuwa kwenye maintenance ya uwanja iliyofanyika moja ya part ya Simba waliochangia ni pamoja na kuweka viti vipya?

Sasa sisi ndio wenye viti tuna authority ya kuvifanya tutakavyo, ni vyetu ni hela yetu.
 
Hawa ndio Yanga sasa na hizi ndio level ya mwisho ya akili zao.

Swali ni je.

Hao wachezaji wako uliowataja ni tofauti na wale tuliocheza nao fainali ya community shield kule Tanga?

If not then, What did they offer? Walikupa kombe?

Je hao wachezaji wako uliowataja na kujigamba nao ni tofauti na wale waliocheza na Ihefu pale Mbalali?

Did they win that match against amateur club?

So why are you praising them?
Ngao ni kombe au sio kombe? tukubaliane mapema
 
Gianni Infantino
• Fatma Samoura
• Arsène Wenger
• Salman bin Ibrahim Al Khalifa
• Alejandro Dominguez
• Patrice Motsepe
• Veron Omba
• Augustin Senghor
• Ahmed Yahaya
• Seidoi Mbombo
• FA Presidents in Africa

Hii yooote ni kazi ya Simba SC
Hongereni sana
 
Back
Top Bottom