Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,184
- 4,517
Sasa aumie nini kwenye ukweli wa kawaida huo?. Umbumbumbu nao mzigo mzitoKama unaumia kunya boga kenge bluuuuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa aumie nini kwenye ukweli wa kawaida huo?. Umbumbumbu nao mzigo mzitoKama unaumia kunya boga kenge bluuuuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Nikiandika vizuri nitaonekana nina akili (kitu ambacho mi sipendi)Sio akilo kaka ni akili andika vizuri sawa
Sawa kaka 🤣Nikiandika vizuri nitaonekana nina akili (kitu ambacho mi sipendi)
Naona unajitekenya. Ndo akina nani hao? Kuna timu ilicheza na Simba fainali ya ngao na Simba akawa mshindi. Huenda wangekuwepo, hiyo timu yako ingeshinda. Simba ni Bora Afrika Kwa misimu kadhaa Sasa na yupo mashindano mapya yenye hadhi zaidi Afrika. Hao wachezaji ulio wataja, huenda jumapili watakuwa na mnyukano na azam kwenye local league. Simba anahangakia kimataifa na Bado unataka alingane na hizo levels. Waswahili tumerogwa. Ijumaa, Simba anashinda mechi. Andaa ubongo kupokea hii taarifa.Ao woote kuhudhuria kwao hakumfanyi Kibu kuwa Aziz k , Saido kuwa Pacome au Ayubu kuwa Diara.
Jipangeni mkacheze mpira, ao wageni uwepo wao hauna Tija yoyote kwa klabu ya Simba na wala hawaijui.
Ata aya mashindano yange fanyika Rwanda au Burundi wageni wangekuwepo.
Mkifanya uzembe mta tandikwa apo kwa mkapa kama walivyowafanya Raja Casablanca.
Simba akishinda ijumaa njoo inbox nakutumia laki, no joke about thisNaona unajitekenya. Ndo akina nani hao? Kuna timu ilicheza na Simba fainali ya ngao na Simba akawa mshindi. Huenda wangekuwepo, hiyo timu yako ingeshinda. Simba ni Bora Afrika Kwa misimu kadhaa Sasa na yupo mashindano mapya yenye hadhi zaidi Afrika. Hao wachezaji ulio wataja, huenda jumapili watakuwa na mnyukano na azam kwenye local league. Simba anahangakia kimataifa na Bado unataka alingane na hizo levels. Waswahili tumerogwa. Ijumaa, Simba anashinda mechi. Andaa ubongo kupokea hii taarifa.
Club bingwa haipo hio rangi, thou ni akili za kijinga tuAibu naona mimi...kumbe mpk JF kuna wapumbavu kama wa huko instagrame...
Sasa nyie mnaocheza club bingwa hyo logo hamuitumii???
Hahahahahahah
Ujinga mzigo..
Acha hii tabia huu ni mpira mambo ya Manara hayaAziz K amebaki mdomo tuu...
Nina laki Moja hapa😂😂Utani Raha sana.Simba akishinda ijumaa njoo inbox nakutumia laki, no joke about this
😀 😀 😀Acha hii tabia huu ni mpira mambo ya Manara haya
Hizi rangi nimeangalia tena sioni mahusiano...any way ukiwa mgonjwa wa akili ndo utahusianisha..Club bingwa haipo hio rangi, thou ni akili za kijinga tu
Tuma kwangu hiyo laki niishikilie kama ushahidi, Simba akishindwa nitakurudishia hela yako. Simba akishinda naikabidhi hela kwa mhusika.Simba akishinda ijumaa njoo inbox nakutumia laki, no joke about this
Tuma kwanza yako tuone kama upo seriousTuma kwangu hiyo laki niishikilie kama ushahidi, Simba akishindwa nitakurudishia hela yako. Simba akishinda naikabidhi hela kwa mhusika.
No joke about this [emoji851]