Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Kwenye post umeona Zakazakazi peke yake?Zaka zakazi ndio hua reference yako usiniulize maswali ya ki wacky
Halafu umeiacha hoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye post umeona Zakazakazi peke yake?Zaka zakazi ndio hua reference yako usiniulize maswali ya ki wacky
Naunga mkono hojaAo woote kuhudhuria kwao hakumfanyi Kibu kuwa Aziz k , Saido kuwa Pacome au Ayubu kuwa Diara.
Jipangeni mkacheze mpira, ao wageni uwepo wao hauna Tija yoyote kwa klabu ya Simba na wala hawaijui.
Ata aya mashindano yange fanyika Rwanda au Burundi wageni wangekuwepo.
Mkifanya uzembe mta tandikwa apo kwa mkapa kama walivyowafanya Raja Casablanca.
Fata maneno ya mental wako Zaka zakaziKwenye post umeona Zakazakazi peke yake?
Halafu umeiacha hoja
Jibu swali Ngao ni kombe au sio kombe?Mliposema treble mlikuwa mmehesabu kombe lipi na lipi?
Kujibu swali lako kwanza tupe maana ya kombeJibu swali Ngao ni kombe au sio kombe?
AahaaaaKujibu swali lako kwanza tupe maana ya kombe
Umeona mimi tu ndio nayetakiwa nijibu swali lake?Aahaaaa
Naona unaruka ruka
Jibu swali bwashee
Au kuwa wachezaji wa IHEFUAo woote kuhudhuria kwao hakumfanyi Kibu kuwa Aziz k , Saido kuwa Pacome au Ayubu kuwa Diara.
Jipangeni mkacheze mpira, ao wageni uwepo wao hauna Tija yoyote kwa klabu ya Simba na wala hawaijui.
Ata aya mashindano yange fanyika Rwanda au Burundi wageni wangekuwepo.
Mkifanya uzembe mta tandikwa apo kwa mkapa kama walivyowafanya Raja Casablanca.
Lakini ndio alikaa meza moja na kiongozi wako kujadili jambo ambalo wao waliliona ni la busara.Fata maneno ya mental wako Zaka zakazi
AaahaaaaUmeona mimi tu ndio nayetakiwa nijibu swali lake?
Nijibie wewe basi kama jibu unalijua
Na mimi nitakuwepo kwa Mkapa kuhanikiza🦁🦁🦁Gianni Infantino
• Fatma Samoura
• Arsène Wenger
• Salman bin Ibrahim Al Khalifa
• Alejandro Dominguez
• Patrice Motsepe
• Veron Omba
• Augustin Senghor
• Ahmed Yahaya
• Seidoi Mbombo
• FA Presidents in Africa
Hii yooote ni kazi ya Simba SC
Na bado hamna kiwanja chenu?Gianni Infantino
• Fatma Samoura
• Arsène Wenger
• Salman bin Ibrahim Al Khalifa
• Alejandro Dominguez
• Patrice Motsepe
• Veron Omba
• Augustin Senghor
• Ahmed Yahaya
• Seidoi Mbombo
• FA Presidents in Africa
Hii yooote ni kazi ya Simba SC
Toa msimamo wako kuhusu ngao acha maneno mengiKujibu swali lako kwanza tupe maana ya kombe
Msimamo wangu ni huuToa msimamo wako kuhusu ngao acha maneno mengi
Hauna akiliHuo mkono bora ungeutumia kuungia mboga
Akili za kazi gani umri huu?Hauna akili
Kumbe unajijua kaka 🤣Akili za kazi gani umri huu?
Kwani mi mwanafunzi?
Mi akilo sina kwasababu sio mwanafunziKumbe unajijua kaka 🤣
Sio akilo kaka ni akili andika vizuri sawaMi akilo sina kwasababu sio mwanafunzi
Na wala sioni umuhimu wa kuwa nazo
Umri huu focus ipo kwenye hela