Vyuma vya dunia kumshuhudia Mnyama akitumbuiza

Utopolo wanatamn wangekuwa ni wao,,bahati mbaya hamna hata mtu anawapa airtime,,gem yao na azam imemezwa na gem ya kibabe,ndo mmenyimwa uwanja wamepewa tp mazembe🤣🤣🤣🤣
 
Utopolo wanatamn wangekuwa ni wao,,bahati mbaya hamna hata mtu anawapa airtime,,gem yao na azam imemezwa na gem ya kibabe,ndo mmenyimwa uwanja wamepewa tp mazembe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mmeleta mpka Rais wa FIFA lakini bado mnatutaja
 
Hawa ndio Yanga sasa na hizi ndio level ya mwisho ya akili zao.

Swali ni je.

Hao wachezaji wako uliowataja ni tofauti na wale tuliocheza nao fainali ya community shield kule Tanga?

If not then, What did they offer? Walikupa kombe?

Je hao wachezaji wako uliowataja na kujigamba nao ni tofauti na wale waliocheza na Ihefu pale Mbalali?

Did they win that match against amateur club?

So why are you praising them?
 
Tuombe makolo wasije kung'oa viti Baada ya goal la 5 kukandwa,[emoji23]
Hujaambiwa kuwa kwenye maintenance ya uwanja iliyofanyika moja ya part ya Simba waliochangia ni pamoja na kuweka viti vipya?

Sasa sisi ndio wenye viti tuna authority ya kuvifanya tutakavyo, ni vyetu ni hela yetu.
 
Ngao ni kombe au sio kombe? tukubaliane mapema
 
Hongereni sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…