Vyuma vya dunia kumshuhudia Mnyama akitumbuiza

Naunga mkono hoja
 
Au kuwa wachezaji wa IHEFU
 
Fata maneno ya mental wako Zaka zakazi
Lakini ndio alikaa meza moja na kiongozi wako kujadili jambo ambalo wao waliliona ni la busara.

Kwa hiyo kumkataa Zakazakazi kwa kejeli ni kuitukana management ya Club yako ikiyotoa kibali kwa Afisa Habari wake kwenda kukaa meza moja na Zakazakazi kujadili ajenda ya utaifa.
 
Na mimi nitakuwepo kwa Mkapa kuhanikiza🦁🦁🦁
 
Na bado hamna kiwanja chenu?

Sasa mna nini cha kujivunia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…