Vyuma(wasanii) watakao zindua rasmi msimu mpya wa Fiesta Moro

Vyuma(wasanii) watakao zindua rasmi msimu mpya wa Fiesta Moro

Yani mkoa kama Morogoro ndo wanapeleka hii list, angalau angekuepo stamina ingetia amsha amsha...

Kifo cha clouds nakiona, basi watu wenye roho mbaya kama mimi ni full raha tu mana hawa jamaa walijaa viburi
Kumbe clouds inaendeshwa kwa mapato ya fiesta
 
Yani mkoa kama Morogoro ndo wanapeleka hii list, angalau angekuepo stamina ingetia amsha amsha...

Kifo cha clouds nakiona, basi watu wenye roho mbaya kama mimi ni full raha tu mana hawa jamaa walijaa viburi
stamina mbona yupo". (rostam watakuwepo).... ila honestly wamezingua" visanii visivyo na fan base vipo vingi mnooo ..mpaka Z.anto.... you know kuna harufu fulani inayonuka inayoonyesha kuwa kampuni haina hela" ndio maana wamebeba wasanii wengi wa kawaida ambao huwa wanamudu kuwafanyisha show kwa hela ya bia na sahani ya nyama choma" huku wakiwapatia ahadi ya promotion
 
stamina mbona yupo". (rostam watakuwepo).... ila honestly wamezingua" visanii visivyo na fan base vipo vingi mnooo ..mpaka Z.anto.... you know kuna harufu fulani inayonuka inayoonyesha kuwa kampuni haina hela" ndio maana wamebeba wasanii wengi wa kawaida ambao huwa wanamudu kuwafanyisha show kwa hela ya bia na sahani ya nyama choma" huku wakiwapatia ahadi ya promotion
Hao madogo wanafunguliwa dunia kuwa wanachotaka
 
Hamna maisha mabaya kama visasi na kukomeshana,nawaona wasanii kama wote [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hao madogo ndo wasanii waliofanya vizuri Tanzania 2018 kwenye chati mbalimbali ukitoa hao wakongwe
 
Hawa ndo wasanii watakao zindua rasmi msimu was fiesta 2018 jumamosi hii uwanja was jamuhuri kea kiingilio Cha 7000
Belle9
Fid Q
Nandy
Jolie
Malkia Karen
Whozu
Mr blue
Jaymolody
Janjaro
Z anto
Luludiva
Amber Lulu
Chege
Bryan Simba
Na wengine wengi
Jamaa wanatia huruma sana daah....!!
 
Hawa ndo wasanii watakao zindua rasmi msimu was fiesta 2018 jumamosi hii uwanja was jamuhuri kea kiingilio Cha 7000
Belle9
Fid Q
Nandy
Jolie
Malkia Karen
Whozu
Mr blue
Jaymolody
Janjaro
Z anto
Luludiva
Amber Lulu
Chege
Bryan Simba
Na wengine wengi
Full undergrounds na kheri wangekuwa na major breakthrough yaani ni wale wasio na ushawishi...

Nguvu ya clouds kama brand
Imeegemea katika radio na Tv, THT na Fiesta...
THT ipo ICU na haiwezi kuisupport tena Fiesta..bado Tv na Radio zipo katika competition kali kiasi

Kinachonisikitisha ni kuwa clouds kama monopoly inaeza kuzama ili kuipa nguvu monopoly nyingine ya wasafi..hii haitasaidia kitu maana hakuna monopoly asiependa milki
 
Waluguru na wakaguru wanawaonaje nyie hivi nazani the turn out itakuwa ya kawaida
 
Full undergrounds na kheri wangekuwa na major breakthrough yaani ni wale wasio na ushawishi...

Nguvu ya clouds kama brand
Imeegemea katika radio na Tv, THT na Fiesta...
THT ipo ICU na haiwezi kuisupport tena Fiesta..bado Tv na Radio zipo katika competition kali kiasi

Kinachonisikitisha ni kuwa clouds kama monopoly inaeza kuzama ili kuipa nguvu monopoly nyingine ya wasafi..hii haitasaidia kitu maana hakuna monopoly asiependa milki
Maybe kwasababu Mastermind mwenyewe ruge anaumwa au tigo wametoa bajeti ndogo, pesa ngumu sasahivi
 
Hilo ni suala la muda na mazingira ambayo yapo nje ya uwezo wake..
Kuwepo kwa brand zenye wasanii wenye nguvu na wanoichezesha bongo flava wanavyotaka lilikuwa ni pigo kwa clouds na THT..
Nguvu ya THT imepungua maana kwa miaka ya hivi karibuni hawajazalisha vipaji vikubwa kama barnaba,Amini,Linah, marlaw, Maunda zorro, Mwasiti au recho walioweza kuteka nchi.. hivyo, clouds hawana power ya kuwaendesha wasanii wakubwa kama mwanzo

Kwenye suala la entertainment ya watu local..ilianza e-fm na tv ambapo ilitoa upinzani lakini kwa sasa wamepata mpinzani mwingine ambaye ni wasafi.. Kwa kuangalia haya hata Ruge huko aliko anaumiza kichwa maana siri za mchezo zimebadilika
Maybe kwasababu Mastermind mwenyewe ruge anaumwa au tigo wametoa bajeti ndogo, pesa ngumu sasahivi
 
Back
Top Bottom