Vyuo Vikuu 2 vya Tanzania ndani ya Top 10 kwa Ubora wa Elimu Kusini mwa Jangwa la Sahara. UDSM haimo

Vyuo Vikuu 2 vya Tanzania ndani ya Top 10 kwa Ubora wa Elimu Kusini mwa Jangwa la Sahara. UDSM haimo

😀😀😀Ndio ninayo na hata makamu mkuu wa chuo kwa sasa profesa William anangisye ni mwalimu wangu. Profesa Bernadeta Kilian aliyekuwa mkuu wa chuo kishiriki cha Elimu Mkwawa naye pia ni mwalimu wangu na wengine wengi sana .
Ndo maana panaitwa jalalani
 
Pale hawaendi vichwa panzi kama wewe.pale zinaenda akili kubwa na kutoka akili kubwa 😀😀😀 bila hivyo uta supp na ku carry over mpaka uishie kudisco tu na kurudi uraiani kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu
Ndo maana panaitwa jalalani kwa ajili yako na mwijaku.
 
1.Ngono kwa kwenda mbele,watu wamepewa mi GP mikubwa kwa kugawa uroda kwa lecturers na haohao unakuta wameajiriwa hapo hapo chuoni unategemea nini.
2.Kuna ukabila wa kutisha, watu wanabebana kwa misingi ya kikabila wanapeana tu hiyo mi GP then wanapeana ajira vyuoni unategemea nini.Cheki Mzumbe na Udsm ni balaaa
3.Siasa.Lecturers wazuri wanateuliwa kila kukicha ktk nafasi serikalini unategemea nani atafanya hizo tafiti wanabaki akina karamagi vyuoni ambao wao wanaona kukamata wanafunzi kwenye mitihani ndio akili kumbe ni ujinga mtupu
 
Pale hawaendi vichwa panzi kama wewe.pale zinaenda akili kubwa na kutoka akili kubwa 😀😀😀 bila hivyo uta supp na ku carry over mpaka uishie kudisco tu na kurudi uraiani kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu
Kijana, ifikie wakati ukubali kuwa kunahitajika jitihada za dhati kunusuru Elimu yetu hasa Elimu ya Juu, UDSM inazidi kuporomoka

Bado kuna mapungufu mengi sana katika kuwekeza kwenye R&D (Research and Development)

Bila kuwekeza huko, hakika tutaendelea kuburuzwa na Makerere and Nairob University.
 
Bongo hakuna elimu Bali, utaftaji wa vyeti ili kuingia kwenye system... Ndo maana.... Acha niishiie hapo tu!
 
Tuna idadi kubwa ya wasomi with no content
sasa kama wasomi wenyewe hawa vilaza waliojaa kwenye vyeo vya kupewa kuuutwaa wanahangaika na mataito ya udokta na ma piihechidii feki unategemea nini? Bongo kila kitu chenga
 
Back
Top Bottom