Vyuo Vikuu Binafsi vinalipa mishahara midogo sana

Vitabu
Vitini
Course outline
Mitihani
Nk....

Jumlishia kwenye mshahara apo....
So hela ya mshahara plus hela ya hayo mazagazaga hapo juu inatosha kbs
Hata mie nashangaa hapa.
 
Kuna hicho kinaitwa MTO JORDAN kipo pale Morogoro kama unaenda Dsm aisee kinaajiri kila siku hakilipi watumishi wake.

Ukipata ajira pale hata usisumbuke kwenda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naona wengi tunaongea kama waajiriwa, jaribu kuwaza kama mwajiri. Idadi ya wanachuo haiongezeki, ada haiongezeki hapo mshahara utaongezekaje? Ukiwaza hivyo hutalaumu mtu. Kama ni mwajiriwa Utavumilia au utaondoka kwenda kwenye nyasi za kijani
 
Kwa upande huo upo sahihi. Lakini hata sehemu chache waliko fanya vizuri hakupenda hata kidogo. Angeweza kuwabana waliofanya uhuni wakabaki wachache wazuri tungekuwa na private universities chache zenye quality nzuri sana.
 
Sasa kama hakuna wateja wa kutosha (wanafunzi) unafkri watatoa wapi pesa za kukulipa 3 million?...

Usisahau pia chuo kina husika katika kulipa kodi kila mwezi, na gharama zote ambazo ni maji,umeme, ulinzi, N.K

Swala la msingi hapo ni kwamba hawana pesa za kutosha kulingana na hali ya wanafunzi kuwa ni chache.
 
Ukienda CMA unakuwa umewapelekea ulaji wasuluhishi, chuo kinawapa mtonyo kesi inapigwa chini, unakuwa umefanywa daraja😀
 
Noma sana..mbona darasani wanaonekana wanaoesa mingi!!
 
Pesa zinazolipwa na wanafunzi zinaishia wapi
 
Labda wanaofundisha mikoa yenye vyuo vichache eti mwalimu kwa wiki anakipindi kimoja muda unaobaki ni kufanya utafiti na mwisho wa mwezi analamba 2.5 huyo wa masters na anapiga part time vyuo hata viwili tena na wengi bado wana mishe zao binafsi kwa wanaofundisha sheria wana law firms zao sasa kulia njaa ni uvivu wake tu.
 
Elewaga dhana ya mshahara usitaje vitu vya ajabu. Na ambao siyo wanasheria? Hizo law firms walio nazo ni wachache.
 
Elewaga dhana ya mshahara usitaje vitu vya ajabu. Na ambao siyo wanasheria? Hizo law firms walio nazo ni wachache.
Sasa uzi ulianzisha wa nini kumbe umeshapanga majibu unayotaka,na kwanza nani aliyekuambia ukiwa mwalimu wa chuo umetusua maisha au ulijua utafundisha tuition huko walimu sijui mkoje yaani mmekuwa watu wa kulialia tu na kuendekeza vimikopo njaa na hapo unakuta unafundisha kachuo ka ufundi mi nikajua naongea na DR. kumbe kajamba nani tu mwalimu wa chuo wa mchongo.
 
we hujitamabui, nenda kakojoe, ngedere mkubwa. Nania kakuambia mi mwalimu. Akili yako ina kwashiakor
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…