Vyuo vya private na migpa mikubwa kwa nini?


ni kweli kabisa. Wote wanaomshambulia mtoa mada ndo walewale wanaolinganisha matokeo ya kidato cha nne na chuo kikuu. Hii nchi bado ina wajinga wengi sana.
 
KWA KIASI FULANI.
lakini ukweli ni kwamba, kwa hali ilivyo sasa uwezo wa kuchukua wanafunzi kwa vyuo vya serikali umezidiwa kabisa na idadi ya wanafunzi na huwezi kunishawishi kuwa eti wote wasioenda vyuo vya serikali si bora. wapo wengi sana walio bora na hata wenye matokeo mazuri, maana kuna tofauti kati ya ubora wa mwanafunzi na ubora wa matokeo. UBORA WA MWANAFUNZI NI NATURAL IQ LAKINI UBORA WA MATOKEO NI MATOKEO YA MAZINGIRA MAALUMU, ambapo mtu anaweza kuwa bora akawa na matokeo ya kawaida kulingana na mazingira mabovu and the like.

lakini kubwa kwa hoja yako ni kwamba, competeive advantage kwa sasa ni kubwa hata vyuo vya private kulingana na kozi. mathalani kuna vyuo vitatu tu vya engineering Tanzania, COET ,UDOM AND coet ya SJUIT na ukiangalia uwezo wa vyuo hivi bado haviwezi kuhudumia wanafunzi wote waliopo na waliofaulu na hapa wengi wanaachwa japo wamefaulu
 

Nakushangaa kwa nguvu zote. Mi nimesoma saut na sijawahi pata division 3 sio o level wala a level. Nimepata one kali o level na two ya mwanzo a level. Na sijawah shika nafasi chini ya tatu toka nimeanza primary. I went to saut by choice and not forced by points. Nimesoma na watu flani masters udsm na walikua wanaonekana wakali cha kushangaza walikua wanajiandika kwenye pindo za mashati sie ndo tunawaona. Hiki unachosema hapa ni ujinga mtupu
 
I dont care umetoka chuo gani au una Gpa ya namna gani. Ninachojali unauwezo gani wa kuonesha ulichojifunza kwa vitendo na ubora zaidi? HILO NDILO SWALI KWENYE SOKO LA AJIRA SIKU HIZI, VINGINEVYO JE UNA CONNECTION?
 
Mkuu kuna mwalimu mmoja anatoka chuo cha TUMAINI alikuja kufundisha partime taboraboys yaani hajui kitu linakazi ya kujisifia eti ana G.P.A kubwa

Kufundisha nacho ni kipaji m2 anaweza akawa na material ama akawa na.GPA nzuri bt hawezi kupresent material kwa wanafunzi,
 
Eti unakuta chuo miG.P.A ni mikubwa hadi unashangaa! cha kushangaza ni kwamba wanachukua vilaza sugu! ni bora wangekuwa wanachukua CREAM nisingeshangaa kuona miG.P.A mikubwa

Basi kinakuuma kama wameleta div v unashangaa hilo tu na bora hizi product zinazomaliza miaka hii ambao unawadharau kuliko hicho kizazi cha div v kinachokuja
 
ardhi wanatoa engeneering mkuu vitatu?udom wanatoa,dit wanatoa,must wanatoa arusha tech wanatoa ,mandela,.umechapia hapo mkuu
 

Mkuu asante kwa uchambuzi wako, we acha waendelee kulilia GPA wakati vichwani watupu, Nawahakikishia leo hii hata tukikupa GPA ya tano, kama wewe ni mburula ni mburula tu na kama wewe una uwezo unao tu, haijalishi ulijificha kichaka gani (Chuo cha Private or Government). Ndio utaona sasa kwanini maofisini kuna watu waliotoka huko private, Nashauri interview za kazi ziendelee kua tight ili taka zote toka vyuo vya serikali na Private ziishie mtaani tu.
 
Jamani,penye ukweli tuseme ukweli,kuna kipindi nlikua nafanya kazi bank flan hapa tanzania,wakawa wanaajiri wanafunzi kulingana na Gpa zao,mwisho wa siku wakajikuta wameajiri watu wengi kutoka vyuo vya private ambao walikua na ma GPA makubwaa..mbona walijuta kuwaajiri,mtu akiwekwa hata teller anashndwa kurudisha chenji kwa wateja.ikafikia hatua MD wa hyo bank akasema ni bora kumuajiri mtu mwenye matokeo ya kawaida kutoka vyuo kama udsm au mzumbe kuliko kuajiri wale wenye gpa kubwa kutoka vyuo vya private.
 
Private Uni hyo ni strategy ya kuwapromote wanafunzi wao kwenye soko la ajira,baas...wasipowabeba hela watatoa wapy jina lachuo likichuja?
 
Private Uni hyo ni strategy ya kuwapromote wanafunzi wao kwenye soko la ajira,baas...wasipowabeba hela watatoa wapy jina lachuo likichuja?

Hahahahah wapo kibiashara zaidi
 
Mkuu kuna mwalimu mmoja anatoka chuo cha TUMAINI alikuja kufundisha partime taboraboys yaani hajui kitu linakazi ya kujisifia eti ana G.P.A kubwa


kumbe uko form 6
 
Chenga tu huko private wanatafuta wateja tu ukitaka shule vyo vya serikali hata kufika gpa ya 2.5 shughuli reference: kasome udsm(national university)
 
yan mi sijaona kitu cha kubishana khs private and govt university. la muhimu ni kujadiliana na kusaidiana namna gani tufanye ili tuibadili nchi yetu hii iliyo na majanga kibao.By the way uwe umesoma private au govt, je unaweza kuendesha maisha yako? na taifa kwa ujumla, mengine hayana maana hata tukibishana mpk kesho mshindi hawez patikana
 
Wewe halafu MANAGEMENT nyingi za vyuo vya private wanawakomand WAHADHIRI wawape G.P.A kubwa

jamaa wanalalamika et GPA kubwa vyuo vya private.
Mbona watu walio serious gvt tunapiga GPA kubwa kishenzi tuacha mambo ya ajabu tatzo walioko vyuo vya gvt wanajarbu kuja na historia za 4m6 et div 1,2. ukwel ni kwamba wanajisahau na kula bata mm shaidi nipo ud tena COET lkn GPA kama 4,zipo sasa kaa unalalamika utakoma kwenye soko LA ajira achane urmbuken na mademu someni .name matokeo ya div hayana msaada.kumbuka % kumbwa wenye div 3 na 4. adv wanakuwa na juhud za kusoma wafikapo chuo zaid ya wajihita wana matokeo mazur adv.Hinawezekana kupata GPA kubwa hata ukiwa vyuo vya gvt issue KUJiTAMBuA
 

upo coet mwaka wa ngapi?
hebu niambie na upo group namba ngapi plz
 

Mwanafunzi wa CoET ,?. kwa uandishi huu sidhani hata form4 ushamaliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…