Vyuo vya private na migpa mikubwa kwa nini?

Vyuo vya private na migpa mikubwa kwa nini?

Hakika huu ni utahira na uidiot uliokithiri..na wee mleta mada unajiita msomi??! Haya ni maajabu Tz. Haya we unayejidai una gpa ya 2 et kisa umesoma public U' vesirty, unaweza ata kuitetea bas ili tujue kwel you'r gpa is nithing coz u hav something on mind..sasa gpa 2 competent 0, so what ar yu arguing! Shame on you..kama nina first clas yangu ya RUCO o wataeva any colege n im competent enough to defend it whats yur problem...idiot
...show me what you know n not the colege/ unversity yu studied or yur gpa
 
yan mi sijaona kitu cha kubishana khs private and govt university. la muhimu ni kujadiliana na kusaidiana namna gani tufanye ili tuibadili nchi yetu hii iliyo na majanga kibao.By the way uwe umesoma private au govt, je unaweza kuendesha maisha yako? na taifa kwa ujumla, mengine hayana maana hata tukibishana mpk kesho mshindi hawez patikana

mkuu hujamjibu, yeye anauliza kwanini gpa za vyuo vya private zipo juu tofauti na vyuo vya government,?
 
Daaah hapo umenifurahisha kwa hiyo avatar...

Tunaimba nyimbo moja sasa....

Ahsante kwa kunisikiliza....

CC: Excel

Aise mkuu vipi yule dogo mwenye sura ya mgogoro kashaomba radhi? Maana nimechepuka kwenye uzi kama dakika 10 tu nakuta uzi umepotea
 
Last edited by a moderator:
Wakuu nimefanya utafiti kwenye vyuo vya PRIVATE kama SAUT,RUCo(Ruaha university college),MWENGE UNIVERSITY,JORDAN UNIVERSITY,ARUSHA UNIVERSITY,ST.JOSEPH UNIVERSRTY,TUMAINI DAR,TUMAINI IRING,TUMAINI MAKUMIRA,ST.JOHN,TEKU,SEKOMU,EUKENFORD,nikagundua kwamba wanagraduate na G.P.A kubwa sana yaani unakuta G.P.A za 4 zimejaa hadi unashangaa ! na tunajua kabisa asilimia kubwa ya wanafunzi wanaochukuliwa kwenye hivi vyuo vya PRIVATE wamepata division three zile mbaya mfano,15,16,17,! Hebu tujadili wakuu kwa nini hivi vyuo vya PRIVATE wanapewa G.P.A kubwa sana je ni sababu za kibiashara

Hivi Kidato cha nne umhitimu wapi(Shule ),na ulipata daraja gani la Ufaulu?
Mukobs unasoma Kozi gani?
Tuanzie hapa Mkuu
 
Daaah hapo umenifurahisha kwa hiyo avatar...

Tunaimba nyimbo moja sasa....

Ahsante kwa kunisikiliza....

CC: Excel

:coffee::coffee::coffee::coffee::coffee::coffee::coffee::coffee: najinywea maziwa mie nsije nikafa kwa sumu ya mchana!!! lols!!

wapi Dinazarde!!!...???:focus:.:welcome:
 
Last edited by a moderator:
:coffee::coffee::coffee::coffee::coffee::coffee::coffee::coffee: najinywea maziwa mie nsije nikafa kwa sumu ya mchana!!! lols!!

wapi Dinazarde!!!...???:focus:.:welcome:

Mbona ulipotea ghafla basi nikajua Ban tayari
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom