Wa kuabudiwa, kutukuzwa na kusujudiwa ni Mungu pekee!

Wa kuabudiwa, kutukuzwa na kusujudiwa ni Mungu pekee!

Wanabodi,

Leo kuna SMS nimetumiwa imeleta maneno hadi baadhi ya watu humu kutoleana maneno ya kufuru kuwa kitendo cha kumkubali, kumsifu na kumpongeza, kuhesabiwa ni kumuabudu, kumtukuza na kumsujudu, kitu ambacho sii kweli.

Pongezi hizo ni za kumkubali kutokana na utendaji uliotukuka hivyo kumu encourage aendelee kufanya makubwa na sio kumuabudu, kumtukuza au kumsujudu.

Naendelea kusisitiza Wakuabudiwa, Kutukuzwa na Kusujudiwa ni Mmoja tuu, The One and Only God, Mungu Baba Pekee.

Hivyo please tusitake kumponza na huyu kwa lugha za machukizo, kama tulivyomponza yule.
Huna baraka za Mungu, ni kigeugeu, huaminiki na hudhaminiki, therefore you are merely wasting your valuable energies expecting something in return that won't materialize irrespective of your laborious touting............
 
Wanabodi,

Leo kuna SMS nimetumiwa imeleta maneno hadi baadhi ya watu humu kutoleana maneno ya kufuru kuwa kitendo cha kumkubali, kumsifu na kumpongeza, kuhesabiwa ni kumuabudu, kumtukuza na kumsujudu, kitu ambacho sii kweli.

Pongezi hizo ni za kumkubali kutokana na utendaji uliotukuka hivyo kumu encourage aendelee kufanya makubwa na sio kumuabudu, kumtukuza au kumsujudu.

Naendelea kusisitiza Wakuabudiwa, Kutukuzwa na Kusujudiwa ni Mmoja tuu, The One and Only God, Mungu Baba Pekee.

Hivyo please tusitake kumponza na huyu kwa lugha za machukizo, kama tulivyomponza yule.
Ha ha ha
Mkuu yule tunamfahamu, huyu ni nani?
 
Unahangaika kusifia mtu (ua la kondeni) Leo yupo kesho hayupo?

Tena usifikiri Mtangulizi wake hakufaa mbele za Mungu na ndio maana akalala.
Nakuelewesha tu kwa Imani nzuri iliyozoeleka duniani, watu wanaokubaliwa na Bwana, (kitu chema) huwa hawana maisha marefu duniani wasije wakachafuka wakawa wa Ulimwengu huu.

Kwa sababu hiyo, wanaokubaliwa na Bwana,
Huwa si wa Ulimwengu huu.

*Please, Pascal do not 'like my comment', because you are of this world!


Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
 
Wanabodi,

Leo kuna SMS nimetumiwa imeleta maneno hadi baadhi ya watu humu kutoleana maneno ya kufuru kuwa kitendo cha kumkubali, kumsifu na kumpongeza, kuhesabiwa ni kumuabudu, kumtukuza na kumsujudu, kitu ambacho sii kweli.

Pongezi hizo ni za kumkubali kutokana na utendaji uliotukuka hivyo kumu encourage aendelee kufanya makubwa na sio kumuabudu, kumtukuza au kumsujudu.

Naendelea kusisitiza Wakuabudiwa, Kutukuzwa na Kusujudiwa ni Mmoja tuu, The One and Only God, Mungu Baba Pekee.

Hivyo please tusitake kumponza na huyu kwa lugha za machukizo, kama tulivyomponza yule.

Nawatakia Sensa Njema
Tujitokeze kuhesabiwa

Paskali
Walio wengi wako kwenye migongo ya Mama zao! Hawajui umbali wa safari....Wacha tuwapuuze.
 
Mkuu kama ipo ipo tu.

Ila jambo la muhimu sana kwenye maisha ni kufanya jambo sahihi.

Hata kama wanadamu hawatafurahi ila muhimu zaidi ni kufanya mambo ambayo yanamfurahisha Mungu.

Mali na vyeo vya duniani ni vitu vya kupita tu.

Don't stress yourself.

Furahia maisha to the fullest.
 
Naendelea kusisitiza Wakuabudiwa, Kutukuzwa na Kusujudiwa ni Mmoja tuu, The One and Only God, Mungu Baba Pekee.

Hivyo nawaomba please
please please, tusitake kumponza na huyu kama tulivyomponza yule, kwa hizi lugha za machukizo...
Paskali
Ndugu zangu macho yetu watanzania ndani na nje ya mipaka yetu yakaelekezwa kwa Mama huyu shupavu, mwenye moyo wa huruma upendo na unyenyekevu ulio jaa hekima busara Subira na Aliyejaa hofu ya Mungu, mwenye upendo wa kweli kwa watu na mzalendo wa dhati kwa nchi yetu, msikivu na mwenye kumaanisha kile akitamkacho, mwenye kuchuja maneno na kuchunga ulimi wake

Mh Rais wetu mpendwa Taratibu akaanza kufufua na kuinua matumaini ya watanzania ambayo wakati huo Tulikuwa Tumetoka kwenye majonzi na mshituko, akaanza kuwa mfariji wetu, Akaanza kutufuta machozi, Akaanza kutushika mikono kutunyanyua tulipo kaa ili tuanze safari ya Kuendelea kazi ya kuijenga nchi yetu kwa kauli yake ya kazi iendelee, Akaanza kutuunganisha watanzania kukabili maadui wetu wa ujinga umasikini maradhi Rushwa na ufisadi

Kuna watu walikuwa wamekata Tamaa, Kuna watu walikuwa wanatamani hata kuona kila baya linaipata Tanzania, lakini mama huyu Hodari akazizima roho hizo chafu na kupanda mbegu za upendo na uzalendo katika mioyo watanzania, Ndio maana unaona Leo hii Taifa Ni moja likisonga kwa pamoja,
Naunga mkono.
Kazi iendeleee, Mh Rais Samia Ndiye Joshua wetu atakayetufikisha Kanaan, Mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka na wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti
Katika kusifu, tusipitilize tukavuka mipaka, badala ya kusifu ukajikuta unatukuza na kumponza kwa machukizo, kuna vitu sisi binadamu tuna mamlaka navyo, na kuna vitu hatuna mamlaka navyo, ni vitu vya mamlaka KUU YAKE YEYE!. Anayejua kama Mama Samia ndiye Joshua wetu sio wewe!, sio sisi, wala sio yeye Mama Samia bali its only HIM!, YEYE!. Tuendelee kusifu lakini tusivuke mipaka!, tukamponza na huyu!.
Hili nimelizungumza hapa Kumkubali, Kumsifu na Kumpongeza ni Kumheshimu, Sio Kumuabudu, Kumtukuza na Kumsujudu!. Wakuabudiwa, Kutukuzwa na Kusujudiwa ni Mungu Pekee!.

P
 
Naunga mkono.

Katika kusifu, tusipitilize tukavuka mipaka, badala ya kusifu ukajikuta unatukuza na kumponza kwa machukizo, kuna vitu sisi binadamu tuna mamlaka navyo, na kuna vitu hatuna mamlaka navyo, ni vitu vya mamlaka KUU YAKE YEYE!. Anayejua kama Mama Samia ndiye Joshua wetu sio wewe!, sio sisi, wala sio yeye Mama Samia bali its only HIM!, YEYE!. Tuendelee kusifu lakini tusivuke mipaka!, tukamponza na huyu!.
Hili nimelizungumza hapa Kumkubali, Kumsifu na Kumpongeza ni Kumheshimu, Sio Kumuabudu, Kumtukuza na Kumsujudu!. Wakuabudiwa, Kutukuzwa na Kusujudiwa ni Mungu Pekee!.

P
Mimi Paschal Mayalla kwa tathimini yangu binafsi nilikushauri kwamba achana na siasa jikite katika utunzi wa vitabu katika maeneo matatu

1. Uandishi wa habari
2. Sheria
3. Siasa ya nchi isiyoegemea chama fulani cha siasa

Kamwe hautakuja kujuta maana utakula matunda mema ya akili zako mwenyewe bila kumtegemea mtu fulani mwenye mamlaka akijisikia ndio aruhusu wewe kufunguka kiuchumi, nk
 
Back
Top Bottom