Lol ,.. Atakua anajua ku quote tuu maskn
a.rahabu anapatikana jukwaa la wakubwa
wakubwa wenyewe si tulikutana jana huko na wewe Heaven on Earth
heaven on earth anaenda kulala
Kulala mapema inatokana na kufanya kazi nzito mchana.
mchana wa leo ulikuwa na shughuli nyingi sana
janga la ukimwi linaendelea kuutesa ulimwengu
Ulimwengu wa tatu ni upi na huo wa kwanza ni upi?
Hospital ya muhimbili ni janga la taifa....
Matupu kama madumu ya maji
Maji ya uhai au Kilimanjaro?