queenlishas
JF-Expert Member
- May 25, 2014
- 288
- 76
Mawazo ndo mwisho maana kila kitu kinaanzia kwenye mawazo..
tupu la bia chukua
kitakupoteza kweli, unahitaji kua makini
makini kama mm mapost kibao bila bila kwa mchongo huu hatapatikana mshindi hata miaka 800 na hii thread ni ya kiddish
Kiddish ndio nini mkuu? Hebu acha lugha za kihuni, kama ningekua Mode ningekupiga BAN
nyingi ni kifupi cha nyingine, kumbe ndo maana ya kiddish? lugha ya kiingereza ni pana vibaya
Kitambi uzembe...
kidish ndo nn?