FUSO ni gari linaloweza kupita kokote kule, hata ndani ya msitu linakatiza tu!! kushindana nalo ni kujichosha, Heaven na wewe umeingia kwenye kinyanganyiro?
kioju acha mbwembwe zako!! cha msingi tule iddi kesho na kesho kutwa ili alhamisi tuendeleze hili libeneke.Kinyanganyiro? Hilo neno ni geni kwangu nachojua ni kinyang'anyiro na atapata kioju
kioju acha mbwembwe zako!! cha msingi tule iddi kesho na kesho kutwa ili alhamisi tuendeleze hili libeneke.
gani? libeneke ni likiswahili la mwanajamvi Issa Michuzi
Akili ni nywele kila mtu ana zake
Hata kama ni kipilipili
upara ni noma zaidi